Samedi Amba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 227
- 178
Mcheki Engineer zumbemkuu anaweza kuwa na ABCsHabari wanaJamvi,
Natumaini siku yenu inaendelea vizuri.
Kama ilivyotajwa hapo juu, natafuta anayeshughulika na BioGas hapa Bongo. Nahitaji sana.
Asanteni.
JE umempata?Mchek huyu 0713925634.
Umewapata?Habari wanaJamvi,
Natumaini siku yenu inaendelea vizuri.
Kama ilivyotajwa hapo juu, natafuta anayeshughulika na BioGas hapa Bongo. Nahitaji sana.
Asanteni.
Toa elimuKaribu Tuwajenge mtambo wa Biogas , iwe nyumbani kwako, Kwenye Mashule , Hotel, Hospital, Hostels, Mitambo yetu Ni Life Time quarantee. Tunatengeneza kuanzia 8Metrecube ,15 ,21,32,50,65,100 mpaka 200 Metrecube. Tunza Mazingira Acha kutumia Kuni na Mkaa tumia Biogas ,Tucheki @franselly 0686124826
Mkuu tupo Jf unajadili we unatupeleka huko istagram tunaomba majibu hapa hapa wengine hata hizo istagram hatuna bossNamba ipo juu hapo, nitafute, au njoo Instagram Kuna video na nimezielezea vizuri I'm on Instagram as @biogas96. Install the app to follow my photos and videos. Login • Instagram