Natafuta watu wa live band

Natafuta watu wa live band

MKUSHI90

New Member
Joined
Aug 27, 2022
Posts
2
Reaction score
3
Habari zenu wadau ninahitaji watu wenye uwezo wa live band (copy) au cover pub inaitwa MKUSHI PUB ipo wilaya ya kibondo mkoa wa Kigoma.

Mawasiliano 0627491978/0656426643
 
Habari zenu wadau ninahitaji watu wenye uwezo wa live band (copy) au cover pub inaitwa MKUSHI PUB ipo wilaya ya kibondo mkoa wa Kigoma.
Mawasiliano 0627491978/0656426643
Ushauri wangu ni hivi ,ungeenda kuongea na wadau wenye mabaa pale kigoma mjini, band zinapigwa sana pale mjini wakupe connection hizo, kuna vijana wa dsm wamefungu pub kule mjini zinafanya poa sana,njoo dm nikupe no ya mdau pale maweni, mtoto wa kinondoni yupa na pub pale inafanya poa tu.
 
Habari zenu wadau ninahitaji watu wenye uwezo wa live band (copy) au cover pub inaitwa MKUSHI PUB ipo wilaya ya kibondo mkoa wa Kigoma.

Mawasiliano 0627491978/0656426643
Nakuwekea hili tangazo kwenye platforms za wanasanaa watakutafuta mkuu
 
Habari zenu wadau ninahitaji watu wenye uwezo wa live band (copy) au cover pub inaitwa MKUSHI PUB ipo wilaya ya kibondo mkoa wa Kigoma.

Mawasiliano 0627491978/0656426643
Ingia kasulu pale kuna makundi mengi ya kuimba,
 
Back
Top Bottom