Raimundo JF-Expert Member Joined May 23, 2009 Posts 13,416 Reaction score 12,618 Nov 28, 2016 #41 scorpio me said: Mkishamaliza kujiuliza ni biashara gani,mje mnitajie hayo maeneo kama thread inavyotaka,af will tell you ni fursa gani nakamatia[emoji124] [emoji124] [emoji124] Click to expand... Aisee, acha watu wajiulize, na mimi nitakuja kutaja maeneo ukishamaliza kujiuliza.
scorpio me said: Mkishamaliza kujiuliza ni biashara gani,mje mnitajie hayo maeneo kama thread inavyotaka,af will tell you ni fursa gani nakamatia[emoji124] [emoji124] [emoji124] Click to expand... Aisee, acha watu wajiulize, na mimi nitakuja kutaja maeneo ukishamaliza kujiuliza.
ShyaRuwa JF-Expert Member Joined May 30, 2015 Posts 7,895 Reaction score 13,643 Nov 28, 2016 #42 Eddy Love said: sure mkuu dume kujifanya mwanamke ujue kuna kitu anakitaka hapa jamiiforums Click to expand... Yaani leo hii anadai yeye ni mwanaume? Anyway, jinsia ya mtu hainihusu hata kidogo, kuna mambo ya kufanyia mizaha lakini si kama anachokifanya hapa.
Eddy Love said: sure mkuu dume kujifanya mwanamke ujue kuna kitu anakitaka hapa jamiiforums Click to expand... Yaani leo hii anadai yeye ni mwanaume? Anyway, jinsia ya mtu hainihusu hata kidogo, kuna mambo ya kufanyia mizaha lakini si kama anachokifanya hapa.
mtutuwajambazi JF-Expert Member Joined Jul 31, 2016 Posts 520 Reaction score 310 Nov 28, 2016 #43 Mademu wa bongo na maganda ya ndizi kwenye miteremko.