Makedha
Senior Member
- Sep 24, 2010
- 167
- 53
Hapo kwenye bold ni lyrics ya wimbo nimeosikia kwenye tovuti fulani, lakini wala jina la wimbo wala la mwimbaji halikutajwa...
Mama yangu,
Wewe ni nguzo maishani mwangu,
Taa imulikayo mbele yangu
Daima milele
(sijui lyrics of the rest of the song maana nimepata kusikia kipande kifupi tu)
Unaweza kunipa jina la wimbo huu iwapo unalijua?
Mama yangu,
Wewe ni nguzo maishani mwangu,
Taa imulikayo mbele yangu
Daima milele
(sijui lyrics of the rest of the song maana nimepata kusikia kipande kifupi tu)
Unaweza kunipa jina la wimbo huu iwapo unalijua?