Natafuta wimbo wa Rafael alikuwepo by Fred Saganda

mkuu figganigga marehemu Mr. Abel alikuwa anaimba RnB kama za Mr. Paul. Saganda namkubali sana kwani baada ya yeye kutoa hiyo ngoma yake ndipo ulipojitokeza utitiri wa wasanii wakirap kwa kutumia idea yake. Sijui kwa nini jamaa hakusikika tena.
Mkuu jamaa aliingia kwenye mambo ya kutayarisha nyimbo. mia
 
Last edited by a moderator:
Ni jinsi gani??ni namna gani tutaishi duniani paka siku tunasema buriani,jamaa anaimba kwa lafudhi ya kichaga Hiv,MASAWE alikuepo,kimaro alikuepo,mushi alikuepo kawataja wengi sanaa!!
 
duuu naupenda sana uwo wimbo na mangi alikuwepo.
 
mkuu figganigga marehemu Mr. Abel alikuwa anaimba RnB kama za Mr. Paul. Saganda namkubali sana kwani baada ya yeye kutoa hiyo ngoma yake ndipo ulipojitokeza utitiri wa wasanii wakirap kwa kutumia idea yake. Sijui kwa nini jamaa hakusikika tena.


Enzi zile hakukuwa na kiki za instagram
 
Sii yule anayeigiza sauti ya mister T kny katuni za ubongo kids(akili)?
 
Kama ni namna gani utawini maishani tafuta kazi ya kuwasifu watu...utapata cheo fasta.
 
natamani sana kujua namna ya kuzipata zile filamu zake zilikuwa zina mafundisho sana. zilikuwa zinahusu athari za madawa ya kulevya na bangi. hebu tuambie namna ya kuzipata maana vijana wetu wanapotea hakuna mafundisho yoyote ya maana wanayopata kupitia hizi Bongo movie za sasa.
 
Nilibahatika kusikiliza Album ya huyo jamaa yenye huo wimbo ni balaa sana. Ana ngoma yake humo inaitwa "Makota Mapilau" ni shidaa. Saganda ana kipaji sana sema kagoma kuwa commercial hadi leo anafanya underground
 
mkuu figganigga marehemu Mr. Abel alikuwa anaimba RnB kama za Mr. Paul. Saganda namkubali sana kwani baada ya yeye kutoa hiyo ngoma yake ndipo ulipojitokeza utitiri wa wasanii wakirap kwa kutumia idea yake. Sijui kwa nini jamaa hakusikika tena.
Aliacha kuimba. Anafanya production. Lakini pia ndie anayetengeneza zile audio za katuni za Ubongo Kids. Yuko njema sana jamaa, na anaendeleza rap zake za kichagga kwenye hizo hizo katuni
 
Ni namna gani tutawin maishani
yesu wangu,ni namna gani
yereuuuwiiii,Kidogo tu huyooo
Rafael na motakaa,,Hahahaha!!Mala
ya kwanza kuuskia
ni Mwaka jana
Kwenye kipindi
cha Shujaaz cha
DJ Tee,Niliuelewa
sana Aisee
 
Massawe alikuepo,Kimaro alikuepo,
Mangi alikuepo,
Urassa alikuepo,
Lema alikuepo,
Urio alikuepo,
Na huyu mtoto
wa jirani nani uyu?
Chua,eeh et chua
nae alikuepo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…