Mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 31
Nishawahi kuoa na kupata mtoto mmoja kwenye ndoa,lakn ndoa yetu haikua riziki mwenza wangu aliipenda michepuko.
Ni mwajiriwa pia mjasiliamali.
Kwa mwanamke mwenye uhitaji kweli wa mme njoo tuyajenge.
Umri kati ya 25~28
Mkristo
Uwe na kazi au bila kazi sawa tu kikubwa unajielewa