GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wana Simba SC ' Kazi Imekwisha ' na popote pale ulipo anza Kusheherekea kwani tunashinda Goli 2 kwa 0. Nitoe pia ONYO mapema kwa wana Yanga SC kama unajijua kabisa una matatizo ya Moyo / Presha na huwezi ' Kuvumilia ' tafadhali Kesho baki tu Nyumbani Kwako ukisikilizie vizuri ' Kipigo ' ukiwa Kitandani au Sebuleni Kwako kutokea Uwanja wa Taifa.
Na kwa Wanasimba hakikisheni mmeshakata ' Tiketi ' zenu zote na mkaujaze Uwanja kwani moja ya ' Sharti ' tulilopewa ' sehemu sehemu ' ni kwamba ili ' Majini ' yetu yafanye Kazi ya ' Kutukuka ' pale Uwanjani Taifa yanahitaji kuona rangi nyingi za Nyekundu na Nyeupe kwani kwa Kesho tutatumia sana Njiwa Watatu ila Njiwa mmoja ' atakufa ' pale pale Uwanjani na watabaki hao Njiwa Wawili ila kuna Paka Wawili Weusi mtawaona hasa Jukwaa linalotazamana na Chuo Kikuu cha DUCE wanapitapita hivyo msiwadhuru wala kuwafukuza hata kama wakiamua kuja Kukaa / Kuketi nanyi katika Viti vyenu.
Msipojaza Uwanja mpaka pomoni / juu ya uwezo basi SImba SC Kesho tunafungwa hivyo mkiona Kesho tumefungwa na Yanga SC basi msimlaumu yoyote yule bali mjilaumu nyie Wenyewe kwa kushindwa Kujitokeza kwa wingi na Kuujaza Uwanja. Kakateni ' Tiketi ' zenu upesi ili Watu wa Yanga SC wasizipate na wasiangalie hiyo mechi ' Mubashara ' na Uwanja mzima tuujaze Sisi.
Mwisho kuna uwezekano mkubwa pia Mchezaji wetu mmoja ' Kipenzi ' kabisa ama akaumia vibaya au akaonyeshwa Kadi Nyekundu hivyo msiwaze wala kuwa na wasiwasi kwani hilo nalo ni moja ya ' Agano ' letu la ' Ushindi ' tuliloliingia kutoka huko ' sehemu sehemu ' kwa Yule Mama mwenye Ziwa moja huku Zanzibar.
Anzeni Kufurahi wana Simba SC kwani ' Kazi Imekwisha ' rasmi na Kesho Yanga SC anafungwa Goli / Bao 2 kwa 0 Taifa.
Nawasilisha.
Na kwa Wanasimba hakikisheni mmeshakata ' Tiketi ' zenu zote na mkaujaze Uwanja kwani moja ya ' Sharti ' tulilopewa ' sehemu sehemu ' ni kwamba ili ' Majini ' yetu yafanye Kazi ya ' Kutukuka ' pale Uwanjani Taifa yanahitaji kuona rangi nyingi za Nyekundu na Nyeupe kwani kwa Kesho tutatumia sana Njiwa Watatu ila Njiwa mmoja ' atakufa ' pale pale Uwanjani na watabaki hao Njiwa Wawili ila kuna Paka Wawili Weusi mtawaona hasa Jukwaa linalotazamana na Chuo Kikuu cha DUCE wanapitapita hivyo msiwadhuru wala kuwafukuza hata kama wakiamua kuja Kukaa / Kuketi nanyi katika Viti vyenu.
Msipojaza Uwanja mpaka pomoni / juu ya uwezo basi SImba SC Kesho tunafungwa hivyo mkiona Kesho tumefungwa na Yanga SC basi msimlaumu yoyote yule bali mjilaumu nyie Wenyewe kwa kushindwa Kujitokeza kwa wingi na Kuujaza Uwanja. Kakateni ' Tiketi ' zenu upesi ili Watu wa Yanga SC wasizipate na wasiangalie hiyo mechi ' Mubashara ' na Uwanja mzima tuujaze Sisi.
Mwisho kuna uwezekano mkubwa pia Mchezaji wetu mmoja ' Kipenzi ' kabisa ama akaumia vibaya au akaonyeshwa Kadi Nyekundu hivyo msiwaze wala kuwa na wasiwasi kwani hilo nalo ni moja ya ' Agano ' letu la ' Ushindi ' tuliloliingia kutoka huko ' sehemu sehemu ' kwa Yule Mama mwenye Ziwa moja huku Zanzibar.
Anzeni Kufurahi wana Simba SC kwani ' Kazi Imekwisha ' rasmi na Kesho Yanga SC anafungwa Goli / Bao 2 kwa 0 Taifa.
Nawasilisha.