Nataka dada ambaye yuko serious na maisha tukaanze maisha.

Nataka dada ambaye yuko serious na maisha tukaanze maisha.

mjasilia

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2012
Posts
594
Reaction score
172
hello!
Natafuta mdada yeyote mwenye umri kati ya miaka 20-25, ambaye ni jasiri asiyeogopa maisha anayejua haki za mwanamke na maana ya mwanamke, elimu angalau kidato cha, ama awe na elimu ya ujasilia mali na tayari anajishughulisha ujasilia mali, ama awe anafanya kazi lakini anayeamini sana katika kuwekeza ili kuwa na maisha mazuri, au kama anafanya biashara atanifaa zaidi.

Mimi elimu yangu; degree nipo hatua za awali kuwa mjasilia mali.
mawasiliano anitumie email tutapanga na kupeana mawasiliano mengine huko
asnteni wadada kwa kunizaa na nadahi mtakuwa mumenizalia pia mpendwa wangu!
Sainthomma@yahoo.co.uk
 
mhm achana na wadada...kwanza fika mbali na ujasilia mali wako nddio utafute goma
 
Nashukuru kwa mawazo yenu pevu! ngoja kwanza nizi sake kweli wanawake wakugegeda na kusepa!
Amani!
 
nipm namba yako mzabzab kaa kushoto
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom