Nataka gari mpya toka showroom.. namba d

Nataka gari mpya toka showroom.. namba d

Ivi kuna gari mpya unaweza ukapata showroom si mpka uagizie
Kwani pale DSM posta opp na maktaba, kwenye mataa, mbele ya holiday inn ukitokea posta mpya si kuna show room ya brand new magari? Au nimekosea? Na pale kstikati ya posta ya zamani na NBC HQ hakuna hizo mambo..??

By the way, 1.4M hata toyo mpya hapati...
 
Kwani pale DSM posta opp na maktaba, kwenye mataa, mbele ya holiday inn ukitokea posta mpya si kuna show room ya brand new magari? Au nimekosea? Na pale kstikati ya posta ya zamani na NBC HQ hakuna hizo mambo..??

By the way, 1.4M hata toyo mpya hapati...
Sitaki toyo... Nataka gari
 
Shi shi baby anachukua hiyo kwa kwa pigo moja wewe unataka gari si bora chukua demu. Utapata hata na HIV
 
Nenda kinondoni unapata mpya kabisa!
Na chenji inabaki.

Utupe mrejesho.
 
Back
Top Bottom