Nataka hii kitu

nilidhani ni maumbile mtu anazaliwa nayo kumbe na mazoezi pia inakuja..
 
duh kuna watu wakiandika vitu flani tunabaki tunashangaa tu, tushazoea akina moniccca, richaabra na amanda cute
 
Waswahili tunauita uvungu,ni mzuri kwa Afya,ya utiaji.
Ventilation 100%
Hii inatokana na maumbile,kama hujakomaa sana anza mazoezi ya msambisha,usnambe.
 
Ingia youtube, mazoezi mengi utayaona. Ila inabidi uwe na moyo wa kufanya mazoezi na uwe committed.
 
Waswahili tunauita uvungu,ni mzuri kwa Afya,ya utiaji.
Ventilation 100%
Hii inatokana na maumbile,kama hujakomaa sana anza mazoezi ya msambisha,usnambe.
Am 22 nimekomaa mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…