FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Kuwa Kiongozi c jambo dogo tena kuongoza mamilioni,ni mpango wà Mungu.
Tunaona viongozi Kama Yusuph waliota ndoto na wakajua,sasa enyi waanndishi andaeni makala muwahoji marais tujue wAlikuwa na siri gani iwapo walijua unabii kuwa watakuwa viongozi ama kwa ndoto au Kutokewa na malAika,maana c jambo dogo Mimi hata uenyekiti wa mtaa siwezi shinda.
Niite Mlokozi.
Tunaona viongozi Kama Yusuph waliota ndoto na wakajua,sasa enyi waanndishi andaeni makala muwahoji marais tujue wAlikuwa na siri gani iwapo walijua unabii kuwa watakuwa viongozi ama kwa ndoto au Kutokewa na malAika,maana c jambo dogo Mimi hata uenyekiti wa mtaa siwezi shinda.
Niite Mlokozi.