Nataka ku-verify account yangu Facebook msaada

Nataka ku-verify account yangu Facebook msaada

Frustration

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,134
Reaction score
4,124
Kwa anayejua step za kufikia kwenye ku-verify account ya Facebook anielekeze free
 
Kwa anayejua step za kufikia kwenye ku-verify account ya Facebook anielekeze free
Kampuni kama Gsmarena hadi leo ina struggle kupata verification. Hii issue haijawahi kuwa na Formular inaweza chukua mwezi mpaka miaka.

Hakikisha tu una vitu vya kuthibitisha umaarufu wako na uhalali wako, uwe na kitambulisho, documents za serikali kama Tin, kama umeandikwa kwenye Gazeti ambatanisha, Wikipedia Articles, website yako, na mambo mengine ambayo unahisi Facebook wanatakiwa wayajue kwamba wewe ni huyo unaetaka awe verified.
 
Kampuni kama Gsmarena hadi leo ina struggle kupata verification. Hii issue haijawahi kuwa na Formular inaweza chukua mwezi mpaka miaka.

Hakikisha tu una vitu vya kuthibitisha umaarufu wako na uhalali wako, uwe na kitambulisho, documents za serikali kama Tin, kama umeandikwa kwenye Gazeti ambatanisha, Wikipedia Articles, website yako, na mambo mengine ambayo unahisi Facebook wanatakiwa wayajue kwamba wewe ni huyo unaetaka awe verified.
Sawa mm nlijua birth certificate na ID tu kwisha maana ndivyo vinavyomtambulisha mtu. Pamoja na hivyo hayo maombi unatuma kupitia anuani(web) gani?
 
Sawa mm nlijua birth certificate na ID tu kwisha maana ndivyo vinavyomtambulisha mtu. Pamoja na hivyo hayo maombi unatuma kupitia anuani(web) gani?
Kwenye App yao ama web kuna menu ya verification kwenye profile yako.

Ama nenda setting kwenye general kuna menu ya verification utapewa option ya kuverify page ama profile
 
Kua verified na kuwekewa blue tick/ Facebook blue badge hapo hadi account iwe ina wakilisha public figures mfano mtu maarufu, msanii au taasisi ili kufanya account iwe tofauti na nyingine mfano kama ilivyo JF ipo verified katika mitandao ya kijamii.

Hapo ukiweka details zote wanazo wanazo hitaji na kukuomba uupload ombi lako litafanyiwa kazi na utapokea ujumbe either kwenye account yako Facebook au kwenye email uliyo unganisha na account.



Japo si rahisi kuwa verified kwa ombi la mara ya kwanza hapo watakwambia wamepitia account yako na wamegundua huwezi kuwa verified kwa wakati huu hivyo wanakushauri utume tena ombi jingine baada ya Siku 30.



NB: Kua verified ni kipengele kwa sababu wataingia mitandaoni kukutafuta kama ni Mtu Maarufu ila kama siyo itachukua muda sana.
 
Back
Top Bottom