Kuna Professor wangu mmoja amenifundisha enterpreneurship and Innovation alituambia darasani hivi. Alifanya kazi makampuni makubwa mf IBM nk. akwa anasema niligundua siwezi kuwa President akaacha, akaend akampuni nyingine vilevile akaacha kwa sababu hiyohiyo. Alipokuwa na umri wa miaka 37 akaamua kuacha kazi zote akaanza shughulizake binafsi. Na toka wakati huo hajawahi kuludi nyuma. NA sasa biashara zake zina mtaji wa Dola Ml.3 za kimarekani. almost 4.5 billion kwa hela za madafu.
Sasa basi angalia Business Plan yako for the next 3 to 5 years. Tengeneza Income Statement Projection for that period.. na kwa kuwa umekuwa nayo tayari haitakusumbua kujua Annual Revenue generation na expenses zake. Pili angalia Balance Sheet yako inasemaji in terms of equity( chako ni kiasi gani na Benki ama business patner wako) Alafu mwisho Cash flow kwa kipindi chote cha miaka utayoamua.
Hii itakusaidia kujua ni faida kiasi gani unapata kwa mwaka, hata kwa mwezi. Then hapo utakuwa na uhakika wa kujua kuwa biashara itaendelea ama lah.. Kinachoshinda wengi ni kutosimama kwa misingi ya biashara aliyoweka mwenyewe.
UKiweza kuwa na business plan nzuri na ukaisimamia basi hutokuwa na hofu ya kuacha hiyo kazi unayofanya
Option nyingine unaweza endelea na kazi yako lakini ukai monitor kwa results produced kwa uliowaajiiri but business plan ni muhimu mkuu.
All the best