Nataka kuagiza dawa inayoitwa Enclomiphene

Nataka kuagiza dawa inayoitwa Enclomiphene

kwe2tu

Senior Member
Joined
Dec 30, 2023
Posts
128
Reaction score
210
Wadau nina shida na dawa moja lakini nimetafuta kwa hapa Tanzania haipo nataka kuagiza India naomba mwenye connection ya huko anisaidie au kama kuna mtu huwa anaagiza vitu huko anisaidie niwasiliane nae.

Naomba kuwasilisha wakuu.
 
Ni ya kutibu nini? Pm kama utaona aibu
Enclomiphene is a prescription medication that restores normal testosterone levels in men with low testosterone levels. Unlike TRT, enclomiphene does not cause many serious side effects or decrease or stop sperm production and fertility

Kama huyu mtoa mada ana moto mchache kwenye mjegeje naona
 
Enclomiphene is a prescription medication that restores normal testosterone levels in men with low testosterone levels. Unlike TRT, enclomiphene does not cause many serious side effects or decrease or stop sperm production and fertility

Kama huyu mtoa mada ana moto mchache kwenye mjegeje naona
Okay
 
Wadau nina shida na dawa moja lakini nimetafuta kwa hapa Tanzania haipo nataka kuagiza India naomba mwenye connection ya huko anisaidie au kama kuna mtu huwa anaagiza vitu huko anisaidie niwasiliane nae.

Naomba kuwasilisha wakuu.
Dawa zipo nyingi tu class moja na hio pm kwa msaada zaidi ila hio enclomiphene jaribu kwenye pharmacy za wahindi unaweza ipata
 
Dawa zote zinazoingia hapa nchini sharti zisajiliwe na TMDA (Zamani TFDA).Anzia na tovuti ya TMDA (www.tmda.go.tz) kuna Link ya Usajiri.Kama haijasajiliwa ina maana Inabidi iagizwe Kwa Kibali maalum,pia Kwa cheti cha daktari.Lakini dunia ni Kijiji,waweza jaribu Kenya au SA kabla ya kuulizia India.
 
Dawa zote zinazoingia hapa nchini sharti zisajiliwe na TMDA (Zamani TFDA).Anzia na tovuti ya TMDA (www.tmda.go.tz) kuna Link ya Usajiri.Kama haijasajiliwa ina maana Inabidi iagizwe Kwa Kibali maalum,pia Kwa cheti cha daktari.Lakini dunia ni Kijiji,waweza jaribu Kenya au SA kabla ya kuulizia India.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom