Hi, Juma.
I have sen your advirtisement kua, unataka kuagiza gari toka Japan
Usijali ninaweza kukusaidia, kwani mimi pia ninafanya hivyo kutoka kuku Japan.
this is my e-mail. rnungu@gmail.com
Thanks. Nungu
Wengi wa maexporter ni waaminifu ila kuna badhi cku hz wana tabia ya kuweka picha za magari while magari hayo hayapo ktk stock zao. so unapo2ma pesa wao ndo wanakutafutia gari yenye same specs na ile uloiona. ushauri wangu ni bora um2mie m2 ambaye ana uzoefu na kazi hy hata ukima usd 100 mpaka 200 c mbaya as long as unapata ki2 cha uhakika. wapo maimporter wengi 2 humu ndani mie ni m1 wapo.
Wengi wa maexporter ni waaminifu ila kuna badhi cku hz wana tabia ya kuweka picha za magari while magari hayo hayapo ktk stock zao. so unapo2ma pesa wao ndo wanakutafutia gari yenye same specs na ile uloiona. ushauri wangu ni bora um2mie m2 ambaye ana uzoefu na kazi hy hata ukima usd 100 mpaka 200 c mbaya as long as unapata ki2 cha uhakika. wapo maimporter wengi 2 humu ndani mie ni m1 wapo.
mkuu tembelea www.royal-trading.jp nao wako safi 28 days toka nilipe hela range rover inakata mitaa dar es salaam
Nataka kuagiza gari kwa njia ya mtandao je mtandao gani ni salama?
Je kuna mtu ameshawahii kuagiza kupitia mitandao hii,naomba msaada wenu
Je www.tradecarview.com na www.japantradecar.com hii vipi?
Nshukuru kwa msaada wenu