Nataka kuagiza kifaa mtandaoni je? Nitadaiwa kodi

Nataka kuagiza kifaa mtandaoni je? Nitadaiwa kodi

Ndio mkuu kitachajiwa kodi, ila kwa ninavyoelewa kuna baadhi havichajiwi au vina msamaha wa kodi kutokana na matumizi yake
Kifaa gani
Screenshot_20250202-202906.png
 
Hakuna kodi, agent wako wanaokusafirishia mzigo wako wanamalizana nayo wewe unatoa pesa ya nauli tu mzigo unaenda kuuchukulia kwenye magodowns yao bure kabisa sio bandarini
 
Back
Top Bottom