IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Mambo vipi wakuu nataka kununua simu ya nokia 6.1 plus kutoka ali express ni refubrished kwa wale wataalamu hii kibongo inaweza piga kazi vizuri upande wa mtandao mawazo yenu tafadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawai kosa mzigo kwa free shipping mingi nikiagiza inakuja full isipokua kuchelewa ila simu Mara zote free shipping zinawai kuja bila shida mkuu asante kwa maoni.Itapiga kazi.
Ila hapo kwenye free shipping sijui kama utapa mzigo wako. Tumia DHL express kama utaweza kumudu gharama. Kila kheri.
Acha uoga aliexpress standard shipping mizigo hufika salama kabisa , dhl atalipia bei sawa na sim au zaidiItapiga kazi.
Ila hapo kwenye free shipping sijui kama utapa mzigo wako. Tumia DHL express kama utaweza kumudu gharama. Kila kheri.
Wapi nimedanganya, soma statement vizuri au umejisikia tu kuharisha.Acha uoga aliexpress standard shipping mizigo hufika salama kabisa , dhl atalipia bei sawa na sim au zaidi
Kama una statement ya Aliexpress ama Amazon wanakuchaji Kodi kamili.nunua Bongo tu, TRA wakiidaka hiyo bei ina double
Mkuu usiogope ilemradi uwe na sanduku lako la posta mzigo utakufikia, tena wanatoa mpaka track record mzigo ulipo hvyo ukisafirisha na aliexpress wenyewe mzigo utakufikia bilashaka, ila ndio utasubiri ndani ya siku 30Mambo vipi wakuu nataka kununua simu ya nokia 6.1 plus kutoka ali express ni refubrished kwa wale wataalamu hii kibongo inaweza piga kazi vizuri upande wa mtandao mawazo yenu tafadhali.
View attachment 2062472View attachment 2062471
Kumbe Redmi hawana bei kabisa..?Nokia 6.1 kwa hio bei ni ghali mkuu, unaweza pata simu mpya kama xiaomi redmi 9 kwa bei karibia na hio Tigo.
Redmi ni kama samsung wana simu za kuanzia laki mpaka za milioni wewe tu na hela yako.Kumbe Redmi hawana bei kabisa..?
Natumia RedMI 9Nokia 6.1 kwa hio bei ni ghali mkuu, unaweza pata simu mpya kama xiaomi redmi 9 kwa bei karibia na hio Tigo.
Sanduku la posta sio lazimaMkuu usiogope ilemradi uwe na sanduku lako la posta mzigo utakufikia, tena wanatoa mpaka track record mzigo ulipo hvyo ukisafirisha na aliexpress wenyewe mzigo utakufikia bilashaka, ila ndio utasubiri ndani ya siku 30
Wewe ndo umekurupuka bila kusoma vzr kilichoandikwa. Ni uoga sio uongoWapi nimedanganya, soma statement vizuri au umejisikia tu kuharisha.
Cha muhimu zaidi bei ni rafikiNatumia RedMI 9
Najiuliza kwanini nilichelewa kuijua
Ina camera kali, usalama wa kutosha.. performance ndo usiseme[emoji1430]
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
OK mkuu nimekuelewa sema tu nimetaka kutumia kampuni iyo ya NokiaNokia 6.1 kwa hio bei ni ghali mkuu, unaweza pata simu mpya kama xiaomi redmi 9 kwa bei karibia na hio Tigo.
Situmii sanduku la posta ila mizgo yangu ua naipata vizur tu mkuuMkuu usiogope ilemradi uwe na sanduku lako la posta mzigo utakufikia, tena wanatoa mpaka track record mzigo ulipo hvyo ukisafirisha na aliexpress wenyewe mzigo utakufikia bilashaka, ila ndio utasubiri ndani ya siku 30
Bongo kuipata ishu bei sasa mkuu alafu mpya mhmnunua Bongo tu, TRA wakiidaka hiyo bei ina double