Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,292
Heshima mbele wakuu.
_Nimekuwa najishughulisha na biashara huku shinyanga kwa muda sasa ila kwa hapa nilipofikia matumaini yametoweka na naona giza mbele.
kipindi cha nyuma nilifanikiwa kununua kiwanja kama heka tatu hivi kibaha na nikajenga hapo kibanda .
sasa kwa mawazo niliyonayo kuna asseti ninazo hapa lazima niziuze na nategemea kupata kama 15m +.
na nilikuwa na wazo nikiamia dar nikafuge tu labda nifungue na duka mahala.
_sijui ni mifugo gani inalipa dar na changamoto zake na hata hilo duka sijui ni maeneo gani nikafungue.
_nimeandika uzi huu ili kupata mawazo kwenu ili nijue pa kuanzia.
Nb :nina mke na watoto watatu wawili wapo primary na mmoja miaka 3 .
_Nimekuwa najishughulisha na biashara huku shinyanga kwa muda sasa ila kwa hapa nilipofikia matumaini yametoweka na naona giza mbele.
kipindi cha nyuma nilifanikiwa kununua kiwanja kama heka tatu hivi kibaha na nikajenga hapo kibanda .
sasa kwa mawazo niliyonayo kuna asseti ninazo hapa lazima niziuze na nategemea kupata kama 15m +.
na nilikuwa na wazo nikiamia dar nikafuge tu labda nifungue na duka mahala.
_sijui ni mifugo gani inalipa dar na changamoto zake na hata hilo duka sijui ni maeneo gani nikafungue.
_nimeandika uzi huu ili kupata mawazo kwenu ili nijue pa kuanzia.
Nb :nina mke na watoto watatu wawili wapo primary na mmoja miaka 3 .