CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,872 Reaction score 9,263 Apr 24, 2014 #21 Marire said: Chasha ina maana unafuga na ngombe pia? Click to expand... Mkuu niko kwa mchakato make nilibahatika kupata ndama wawili wa hizi ng'ombe, Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Marire said: Chasha ina maana unafuga na ngombe pia? Click to expand... Mkuu niko kwa mchakato make nilibahatika kupata ndama wawili wa hizi ng'ombe,
Kiwa JF-Expert Member Joined Oct 4, 2011 Posts 2,102 Reaction score 907 Apr 24, 2014 #22 Ukija uje na mtumbwi wako kabisaa.
Marire JF-Expert Member Joined May 1, 2012 Posts 12,333 Reaction score 5,292 Apr 24, 2014 Thread starter #23 Chasha said: Mkuu niko kwa mchakato make nilibahatika kupata ndama wawili wa hizi ng'ombe, Click to expand... mkuu kwa eneo nililonalo dar nikifanikiwa kupata hiyo mbegu na niwe na ngombe wanne sampuli hiyo kwanini nisitoke kimaisha?
Chasha said: Mkuu niko kwa mchakato make nilibahatika kupata ndama wawili wa hizi ng'ombe, Click to expand... mkuu kwa eneo nililonalo dar nikifanikiwa kupata hiyo mbegu na niwe na ngombe wanne sampuli hiyo kwanini nisitoke kimaisha?
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,872 Reaction score 9,263 Apr 24, 2014 #24 Marire said: mkuu kwa eneo nililonalo dar nikifanikiwa kupata hiyo mbegu na niwe na ngombe wanne sampuli hiyo kwanini nisitoke kimaisha? Click to expand... Ya wale Ng'ombe ni Balaa sasa ukiona Madume yake ndo balaa tupu,
Marire said: mkuu kwa eneo nililonalo dar nikifanikiwa kupata hiyo mbegu na niwe na ngombe wanne sampuli hiyo kwanini nisitoke kimaisha? Click to expand... Ya wale Ng'ombe ni Balaa sasa ukiona Madume yake ndo balaa tupu,
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,872 Reaction score 9,263 Apr 24, 2014 #25 Kiwa said: Ukija uje na mtumbwi wako kabisaa. Click to expand... tehe tehe