Nataka kuanza Biashara ya dagaa wa Mwanza, Dar es Salaam

Nataka kuanza Biashara ya dagaa wa Mwanza, Dar es Salaam

Nataka kufanya biashara ya dagaa wamwanza kupereka dar nilikua naulizia Kama kunamwenye uzoefu wa soko la dagaa dar sasahivi wanabeigain !!!
Suala la biashara ya dagaa ni pasua kichwa, nmeifanya Sana business hyo, nliambulia hasara na kufikishana Mahakamani, lakin mpaka Sasa cjapata hela yoyote Pamoja na kuwa hakimu alitoa siku 30 npewe hell yngu!

Lakin, nsikukatishe tamaa, Kila mtu na bahat yake unaweza jaribu, ila kwa ushaur wngu fanya Biashara nyngne!
 
Suala la biashara ya dagaa ni pasua kichwa, nmeifanya Sana business hyo, nliambulia hasara na kufikishana Mahakamani, lakin mpaka Sasa cjapata hela yoyote Pamoja na kuwa hakimu alitoa siku 30 npewe hell yngu!

Lakin, nsikukatishe tamaa, Kila mtu na bahat yake unaweza jaribu, ila kwa ushaur wngu fanya Biashara nyngne!
Yan Mimi sijakuelewa kudaiyana unamaana gan ulikua unakopesha ?
 
Yan Mimi sijakuelewa kudaiyana unamaana gan ulikua unakopesha ?
No, Kuna aina mbili za dagaa ambazo unaweza uza hko, Kuna dagaa chakula ya Binadamu, pia Kuna dagaa chakula ya kuku!

Dagaa chakula ya kuku, mauzo yake Ni kwenye viwanda vinavyotengeneza vyakula vya kuku!

Dagaa ya Binadamu, Ni kwenye masoko, manzese, temeke haswaa ndo nayofahamu zaidi!

Sijajua wewe unataka kufanya ipi?

Pia kwa kawaida hakuna anaependa kukopesha, unapokusanya mzigo zen ukapata soko, mnunuzi anakupa uhakika kuwa hella ipo yote, na mnakubaliana kilo ni kias gan, but ukiishafikisha mzigo yanaanza maluelue, utaskia Kuna hik mara kile, mara naomba cku mbil hzi uvumilie nakupa hela yote, Sasa ukiangalia mzigo ushafika inabid uwe Kama piriton Kwanza!
Yaan kifup utajikuta umekopwa bila kutarajia!
 
No, Kuna aina mbili za dagaa ambazo unaweza uza hko, Kuna dagaa chakula ya Binadamu, pia Kuna dagaa chakula ya kuku!

Dagaa chakula ya kuku, mauzo yake Ni kwenye viwanda vinavyotengeneza vyakula vya kuku!

Dagaa ya Binadamu, Ni kwenye masoko, manzese, temeke haswaa ndo nayofahamu zaidi!

Sijajua wewe unataka kufanya ipi?

Pia kwa kawaida hakuna anaependa kukopesha, unapokusanya mzigo zen ukapata soko, mnunuzi anakupa uhakika kuwa hella ipo yote, na mnakubaliana kilo ni kias gan, but ukiishafikisha mzigo yanaanza maluelue, utaskia Kuna hik mara kile, mara naomba cku mbil hzi uvumilie nakupa hela yote, Sasa ukiangalia mzigo ushafika inabid uwe Kama piriton Kwanza!
Mini nafanya dagaa chakura ya binadamu
 
Suala la biashara ya dagaa ni pasua kichwa, nmeifanya Sana business hyo, nliambulia hasara na kufikishana Mahakamani, lakin mpaka Sasa cjapata hela yoyote Pamoja na kuwa hakimu alitoa siku 30 npewe hell yngu!

Lakin, nsikukatishe tamaa, Kila mtu na bahat yake unaweza jaribu, ila kwa ushaur wngu fanya Biashara nyngne!
Wapo wanaofanya hii biashara na kupata mafanikio makubwa tu, ulichotakiwa kufanya ni kuangalia namna gani ya kutatua hizo changamoto ulizokutana nazo.
 
JE UNAHITAJI DAGAA WASAFI WA NYASI TUNAPATIKANA MWANZA KIRUMBA MWALONI, MKOANI TUNATUMA KWA UAMINIFU MKUBWA TUNAWEZA WASILIANA WHATTSAPP AU PIGA 0755213580
 
JE UNAHITAJI DAGAA WASAFI WA NYASI TUNAPATIKANA MWANZA KIRUMBA MWALONI, MKOANI TUNATUMA KWA UAMINIFU MKUBWA TUNAWEZA WASILIANA WHATTSAPP AU PIGA 0755213580
Dagaa wa nyasi ndio kitu gani?! Nimeulizia hapa kwa faida ya wote ili tuelewe.
 
Dagaa wa nyasi ndio kitu gani?! Nimeulizia hapa kwa faida ya wote ili tuelewe.
Hawa ni dagaa baada ya kutoka ziwani wana anikwa kwenye nyasi ili wakauke ,ambapo ni tofauti na dagaa wengine wana anikwa kwenye uwanja au mchanga usio na nyasi.nadhani umenielewa
 
Back
Top Bottom