GARDENER255
Member
- Nov 2, 2021
- 12
- 9
Naiitaji msaada wa mawazo. Et naitajika kua na vifaa gan nikitaka kufungua kiwanda kidogo cha tofali kijijini.
Na hivo vifaa navipata kwa bei gan.
Note: kama kifa unacho unaacha mawasiliano na bei. Mimi nipo Tanga, Pangani.
Na hivo vifaa navipata kwa bei gan.
Note: kama kifa unacho unaacha mawasiliano na bei. Mimi nipo Tanga, Pangani.