Ni kazi ya uongo mwingi na aina fulani ya kautapeli,maana ili kumlainisha mteja kuna namna ya uongo na ulaghai utaufanya kupitia maneno mengi kama umemeza cd ili ufanikiwe.so anza kwa kudanganya kwanza hata kwa mkeo,lala nje ukija kesho mwambie ulipata dharula ukasafili nje ya mji kidogo,akikuelewa unapanda ngazi nyingine!