Nataka kuanza kufanya scrub, vitu gani vya kuzingatia?

Nataka kuanza kufanya scrub, vitu gani vya kuzingatia?

Mshamba wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
2,857
Reaction score
3,593
Habari

Jamani nataka kuanza kufanya scrub, nina uso wa mafuta hivyo basi ningependa kujua vitu gani vya kuzingatia ili niwe na matokeo mazuri.

Na je, ni salama kufanya katika saluni zetu hizi za buku mbili mbili za mtaani au ni vizuri niwe nafanya kwenye saluni kubwa za bei?
 
Habari

Jamani nataka kuanza kufanya scrub, nina uso wa mafuta hivyo basi ningependa kujua vitu gani vya kuzingatia ili niwe na matokeo mazuri.

Na je, ni salama kufanya katika saluni zetu hizi za buku mbili mbili za mtaani au ni vizuri niwe nafanya kwenye saluni kubwa za bei?

Mkuu.... naomba kuunganisha na huu uzi wako, kisha wajuzi wa tafasiri watakuja kunisaidia majibu sahihi
 

Mkuu.... naomba kuunganisha na huu uzi wako, kisha wajuzi wa tafasiri watakuja kunisaidia majibu sahihi
Amigo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mkuu.... naomba kuunganisha na huu uzi wako, kisha wajuzi wa tafasiri watakuja kunisaidia majibu sahihi
 
Inabidi uwe na uwezo waku scrub hayo madubwana...hata mm nitakuja unipe huduma.



tapatalk_1570812808348.jpeg
 

Mkuu.... naomba kuunganisha na huu uzi wako, kisha wajuzi wa tafasiri watakuja kunisaidia majibu sahihi

[emoji23][emoji23][emoji23] imenibidi nicheke aisee
 

Mkuu.... naomba kuunganisha na huu uzi wako, kisha wajuzi wa tafasiri watakuja kunisaidia majibu sahihi
 
Zingatia kunywa maji mengi at least liter 5 per day!

#itakusaiia sana.
 
Alete kwanza mrejesho

Mkuu.... naomba kuunganisha na huu uzi wako, kisha wajuzi wa tafasiri watakuja kunisaidia majibu sahihi
 
Unaweza kujifanyia scrub home kwako bila kwenda salun.
 
Back
Top Bottom