Nataka kuanza kufatilia mirathi, naanzaje

Nataka kuanza kufatilia mirathi, naanzaje

Habari Zenu! Ni mirathi narekebisha

Wana JF kwanza nashukuru kwa uwepo wenu na uwepo wenu ni mchango mkuu kwangu kwani nimekuwa na kipindi kigumu sana kuondokewa na mpenzi Mzazi wangu.

Wakati wa uhai wake(mzazi) tangu miaka ya 80 alikuwa mtumishi serikalini, na sasa nataka nianze ufwatiliaji wa mirathi.

Tayari ninazo taarifa ya kikao cha wanandugu. ambapo wanandg wasiopungua 20 tumekaa na kuandika makubaliano, sahihi kila mmja ameweka..


Nina taarifa kuwa mirathi inakaa sana hadi kuipata, naomba njia nyepesi, ili yote na usumbufu wowote ule upungue.
wanasheria, wanajanvi wenye uzoefu wa mambo haya naomba msaada wenu,

Wapi nianzie na tips mbalimbali kuliendea jambo hili kwa kuwa mimi ndiye nilochaguliwa kufatilia mirathi.

Asanteni sana

Mwanajamvi
Muda ni mrefu sana tangu uondokewe na mazazi wako. Muone mwanasheria maana time limitation inaweza kukupa shida. Sijui utakuwa unadai nini toka kwa nani na katika hali gani. Ishu yako siyo simple muone mwanasheria.
 
Muda ni mrefu sana tangu uondokewe na mazazi wako. Muone mwanasheria maana time limitation inaweza kukupa shida. Sijui utakuwa unadai nini toka kwa nani na katika hali gani. Ishu yako siyo simple muone mwanasheria.

hapana mirathi inashuhulikiwa wakati wowote.....kusumbua inasumbua tu kwa kutaka kwao rushwa hawa watumishi wetu wa idara za mahakama,siply chukukua hizo minutes za vikao vya familia,ambatanisha na cheti cha kifo (death certificate),pamoja na picha na barua za family member....i.e mjane,watoto.....kasha anzia mahakama ya wilaya,deteil za bank accounts etc....itakwenda tu,sema vijamaa vina urasimu wa hali ya chini sana.....
 
Maelezo ya mdau hapo juu ni sawa ila ni mahakama ya mwanzo sio ya wilaya .Mirathi inafunguliawa mahakama ya wilaya kama kuna district delegates as per probate & adminstration act ila Practice inaonyesha karibu mirathi yote inafunguliwa mahakama ya mwanzo au mahakama kuu.Pia kufungua haitaji uwe na detail za Benki hiyo labda ukishateuliwa nkama marehemu aliacha Pesa Benji ndio utaitaji kujua detail.All ni all kazi ya mahakama no kumteua msimamizi.Again mambo ya minutes ya kikao ya familia ni practice haijandikwa kwenye sheria na ni kweli mahakama haitakuaccept kama huna.
 
hapana mirathi inashuhulikiwa wakati wowote.....kusumbua inasumbua tu kwa kutaka kwao rushwa hawa watumishi wetu wa idara za mahakama,siply chukukua hizo minutes za vikao vya familia,ambatanisha na cheti cha kifo (death certificate),pamoja na picha na barua za family member....i.e mjane,watoto.....kasha anzia mahakama ya wilaya,deteil za bank accounts etc....itakwenda tu,sema vijamaa vina urasimu wa hali ya chini sana.....

You are right kuwa mirathi nashughulikiwa wakati wowote. lakini lazima uangalie unafungua mirathi kukusanya nini na baada ya muda gani. kwa mfano (take this as an example) kama ni ardhi aliacha mzazi wako iko mikononi mwa mtu, kutoka 1980 mpaka leo without interruption na bila conditionalities, 12 yrs limitation itakusumbua kuipata akiamua kutokuwa muungwana- kila item ina limitation katika kudai ndio maana namshauri amuone mwanasheria. I am speaking this from personal court litigation experience. Unaweza kufungua lakini hivyo vitu vya mirathi utavipata?
 
You are right kuwa mirathi nashughulikiwa wakati wowote. lakini lazima uangalie unafungua mirathi kukusanya nini na baada ya muda gani. kwa mfano (take this as an example) kama ni ardhi aliacha mzazi wako iko mikononi mwa mtu, kutoka 1980 mpaka leo without interruption na bila conditionalities, 12 yrs limitation itakusumbua kuipata akiamua kutokuwa muungwana- kila item ina limitation katika kudai ndio maana namshauri amuone mwanasheria. I am speaking this from personal court litigation experience. Unaweza kufungua lakini hivyo vitu vya mirathi utavipata?
Ningeomba kufahamishwa hapa kwenye miaka 12,kama imepita toka marehemu afe,ikiwa ardhi au nyumba iko mikononi mwa mtu mwingine,hiwezekani kukurudishia kisheria?
 
The law on limitation is not without exemptions! Kama una sababu nzito kwanini hukuweza kufungua mirathi ndani ya statutory period, mahakama inaweza ku-waive hiyo kanuni.
 
Back
Top Bottom