Anza kufuatilia mechi zote za Yanga, Simba na Azam..
Fatilia kuhusu kuwajua majina kocha, wachezaji viongozi.
Baada ya muda kidogo katika ufatiliaji wako na kutazama mechi za hizo team mbalimbali ... Taratibu utajikuta Moyo Una marhaba na team Fulani.. kuchagua ww Kwa akili ni Ngumu, Acha marhaba, hisia na Moyo wako viamue...