Mke wangu ananitesa
Member
- Jan 14, 2025
- 43
- 85
Mkuu ungeanza na ushauriAnza kwanza. Ukishaanza ndo utajua mbinu.
Nipo chalinze hata iyo IG, TikTok na FB hazipo kwa ukubwa huoTumia zaidi mitandao Kama IG ,FB na ticktock
BadoBado mke wako anakutesa?
Kwahyo nijitahid kupata wateja wa cash tuJust start. Usikopeshe Kwa Sasa.
HAKI KWA WOTE msaidie huyu apate haki zake aache kuteswaS
Bado
Ok, kopesha.Kwahyo nijitahid kupata wateja wa cash tu
Wewe acha ubishi.Nipo chalinze hata iyo IG, TikTok na FB hazipo kwa ukubwa huo
Huo ndo ushauri. Halafu acha tabia ya kutaka kusikia maneno unayopenda kuambiwa.Mkuu ungeanza na ushauri
stacheka na wowoteWazo zuri ila ukiwa na tamaa utaishia kuwala na hawatakulipa, nunu chupi za kileo, na sio zile za mieleka