Frank silva
New Member
- Oct 26, 2019
- 2
- 0
Wadau ipi inalipa kati ya kununua shambani then ukoboleshe na kuupeleka dukani au kununua tu mashineni moja kwa moja nakuenda kuuza dukani. Ipi iko sawa zaidi? Na je, mgawanyo wafaida ukoje kwa wazoefu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu kuandika vizuri na hiyo biashara na kutapeliwa ni vitu tofauti,,ajikaze tu hii biashara atatoboanakushauri ujue kwanza kuandika vizuri ndio uanze biashara, kwa mtindo huu utatapeliwa na kufirisika haraka sana