Ni imani yangu kuwa jukwaa hili ina wazoefu katika kila kipengele fulani cha biashara.
Naomba kushauriwa nataka kuanzisha biashara ya;
1. Mashine ya kukamua alizeti- nataka nifugue Dodoma, mwenyewe uzoefu anisaidie kujua vitu vinavyohitajika na garama zake
2. Biashara ya vinywaji baridi za jumla,(soda, maji na juice) nataka kufungua Kimara- DSM, - nataka kupata wale wanaosambaza soda na maji