Nataka kuanzisha biashara za huduma za kipesa kupitia mitandao ya simu.

Nataka kuanzisha biashara za huduma za kipesa kupitia mitandao ya simu.

mzee wa magumashi

Senior Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
137
Reaction score
44
Wakuu ni matumain YAngu mupo salama.ili kupambana na hali zetu nitaka kujikita katika biashara ya mitandao ya simu(Wakala ambapo nitafanya huduma zote za kipesa na kuswapu Lain naomben uzoefu wenu. Na gawio likoje kwa muda gani hilo gawio!
 
Back
Top Bottom