Mkuu hayo ndo mambo yetu kama vipi pitia huu uzi niliwahi kuuweka siku za nyuma na kama utahitaji consultation yoyote basi nitakufanyia bure unaweza kunitumia number yako nikakupigia au kama unataka kushare na jukwaa basi tupia maswali yoyoyote nitayajibu kwa manufaa ya wengine pia