Nataka kuanzisha kampuni ya tours Geita

GOKE JOHN

New Member
Joined
Aug 25, 2014
Posts
2
Reaction score
0
naomba ushauri wadau nataka kuanzisha kampuni ya tours je nifanye nini ilinifanikiwe sababu ya kufanya hiv ni kuendeleza kudumisha utalii wa ndan na nnje maeneo ya kanda ya ziwa kwani tuna serengeti, rubondo,sanane na pia kuna gombe & mahale na katavi hiz zote ni national parks mwenye ujuzi nitafute kwa johnjosee63@gmail.com
 
Ni idea nzuri mkuu kutokan na mazngr yanayo kuzunguka bx utakapofanya maamuzi cz najua mambo ya mbugni tsht za tour muhimu ntaomba tender ya ku design na kuprint ...all da bst
 
hao watalii watakuja kuangalia machimbo ya dhahabu.
 
mkuu umelenga watu gan hasa? mtaji wako kias gani? una uzoefu wowote kuhusu hiyo kazi
 
Mkuu Mimi nina uzoefu wa said I pay 10yrs kwny hii industry, we can do something, if interested just pm plz
 
Mie ntakusaidia kudesign logo, website , bizness cardz, letter head.

Ukizingatia biashara ya utalii ni matangazo, website au blog itakusaidia kujitangaza.
Kwa maelewano.
Karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…