naomba ushauri wadau nataka kuanzisha kampuni ya tours je nifanye nini ilinifanikiwe sababu ya kufanya hiv ni kuendeleza kudumisha utalii wa ndan na nnje maeneo ya kanda ya ziwa kwani tuna serengeti, rubondo,sanane na pia kuna gombe & mahale na katavi hiz zote ni national parks mwenye ujuzi nitafute kwa johnjosee63@gmail.com
Ni idea nzuri mkuu kutokan na mazngr yanayo kuzunguka bx utakapofanya maamuzi cz najua mambo ya mbugni tsht za tour muhimu ntaomba tender ya ku design na kuprint ...all da bst