wadau naompango wa kuanzisha kiwanda kidogo cha maji ya kunywa huku mikoa ya kusini,naulizka ule mtambo wa kuchemsha na kuchuja maji pamoja na kuyafunga kwenye makopo unauzwa wapi na unaweza kuwa kuwa bei gani.
gharama za chupa za maji viwandani je wanatengenezea bei gani?
naombeni msaada plz
Ni dhahiri hujui unachoongea. Nani kakwambia maji yanachemshwa? Wewe Fanya biashara saizi yako: ya kuuza vitumbua
wadau naompango wa kuanzisha kiwanda kidogo cha maji ya kunywa huku mikoa ya kusini,naulizka ule mtambo wa kuchemsha na kuchuja maji pamoja na kuyafunga kwenye makopo unauzwa wapi na unaweza kuwa kuwa bei gani.
gharama za chupa za maji viwandani je wanatengenezea bei gani?
naombeni msaada plz[/
QUOTE]Hebu google tovuti inayoitwa ' made in china'halafu tafuta hizo machine unazohitaji,kama watakwambia wanaziuza kwa idadi kubwa waambie unahitaji moja ili uipeleke kwenye maonyesho ya biashara.
Ulifanikiwa?wadau naompango wa kuanzisha kiwanda kidogo cha maji ya kunywa huku mikoa ya kusini,naulizka ule mtambo wa kuchemsha na kuchuja maji pamoja na kuyafunga kwenye makopo unauzwa wapi na unaweza kuwa kuwa bei gani.
gharama za chupa za maji viwandani je wanatengenezea bei gani?
naombeni msaada plz
Ukihitaji detail nicheki mkuuUlifanikiwa?
unaweza kuta ndio msomi hapa bongo haaaaaaaaaa. hata Jack ma alikua hajui programming na mambo ya IT kihivyo lakini alianzisha Alibaba na imefanikiwa. wazo ndio chanzo cha biashara yeyote hata kukatishana tamaaNi dhahiri hujui unachoongea. Nani kakwambia maji yanachemshwa? Wewe Fanya biashara saizi yako: ya kuuza vitumbua
Watu kama nyie mnarudisha maendeleo nyuma sana.Kama huwezi kumshauri ungekaa kimya ni busara zaidiNi dhahiri hujui unachoongea. Nani kakwambia maji yanachemshwa? Wewe Fanya biashara saizi yako: ya kuuza vitumbua
Aisee!!!! acha dharauNi dhahiri hujui unachoongea. Nani kakwambia maji yanachemshwa? Wewe Fanya biashara saizi yako: ya kuuza vitumbua
Msaada mkuu Ni njia gani au dawa gani nitumie kupunguza chumvi kwenye majiMimi ni Water Technician na Nina uzoefu Wa kutosha
Ni PM
Hapo unachohitaji kuandikiwa ni business plan. Uko wapi tukuandikie?wadau naompango wa kuanzisha kiwanda kidogo cha maji ya kunywa huku mikoa ya kusini,naulizka ule mtambo wa kuchemsha na kuchuja maji pamoja na kuyafunga kwenye makopo unauzwa wapi na unaweza kuwa kuwa bei gani.
gharama za chupa za maji viwandani je wanatengenezea bei gani?
naombeni msaada plz
Njoo ofisini kwetu BOMA ng'ombe Kilimanjaro region utapata ushauri na mashine za kuchuja maji na kujazaMsaada mkuu Ni njia gani au dawa gani nitumie kupunguza chumvi kwenye maji