Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mtaalam wa mashine za kuchuja maji na kujaza pombe Kali nitakutengenezea mashine usijali piga simu 0673315821Habari!
Wadau ni procedure gani unatakiwa kuzifuata kwa ajili ya kuanzisha kiwanda kidogo tu kwa ajili ya kutengeneza pombe aina ya gini. Kama zile ambazo zipo mtaani kina shujaa na wengine.
Msaada wa procedures na gharama zake asante.
Sijakuelewa!mkuu mpaka hapo umeshashindwa....hivi viwanda huwa vinaanzishwa halafu taratibu zingine zinakuja baadaye ukitaka mpaka uwe na nini na nini aisee hutaweza kufungua...we anza wakija kukukamata ndiyo watakwambia nini kinahitajika
anzisha kiwanda mamlaka zitakufuata na kukuelekeza ufunge kwanza mpaka utimize mambo kadhaaSijakuelewa!
Gharama nI kiasi ganiWadau tumefanikisha shuguli ya kufunga mashine bhongera abati Kwa mteja wetu wa kutengeneza pombe Kali na mambo ya leseni zote sana never gin babati kwaraa
Gharama ni mazungumzo tuu boss just call 0673315821,ongea Nazi bei inategemea na mashine unayohitaji,na maji unayotaka kujucha Kwa mfano maji ya magadi ni tofauti na maji safiGharama nI kiasi gani