Nataka Kuanzisha Radioinayoshika angalao mkoa mmoja naomba mnisaidie Gharama na Mahitaji mengine!

Nataka Kuanzisha Radioinayoshika angalao mkoa mmoja naomba mnisaidie Gharama na Mahitaji mengine!

Curriculum Specialist

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2007
Posts
2,732
Reaction score
750
Habari wana JF Jukwaa la Biashara,

Nina maona ya kumiliki radio yangu na vyombo vingine vya habari ili niwapatie watanzania habari zisizochunjwa hadi kupitiliza, kwa kuanza nahitaji kuwa na Local radio Mjini Dodoma, nahitaji kujua nitahitaji mtaji kiasi ghani na mahitaji mengine hadi radion iwe operational.
 
muone mtu huyu mexence Melo ni founder wa jf atakusaidia zaidi na ukitaka designer wa program za redio nipo tuwasiliane au nipm
Habari wana JF Jukwaa la Biashara,

Nina maona ya kumiliki radio yangu na vyombo vingine vya habari ili niwapatie watanzania habari zisizochunjwa hadi kupitiliza, kwa kuanza nahitaji kuwa na Local radio Mjini Dodoma, nahitaji kujua nitahitaji mtaji kiasi ghani na mahitaji mengine hadi radion iwe operational.
 
Last edited by a moderator:
Habari wana JF Jukwaa la Biashara,

Nina maona ya kumiliki radio yangu na vyombo vingine vya habari ili niwapatie watanzania habari zisizochunjwa hadi kupitiliza, kwa kuanza nahitaji kuwa na Local radio Mjini Dodoma, nahitaji kujua nitahitaji mtaji kiasi ghani na mahitaji mengine hadi radion iwe operational.

Jaribu kusearch vizuri JF, kuna mdau mmoja anajihusisha na mambo hayo kuanzia survey, kuimport vifaa, installation, mpaka uende hewani. Kuna thread amezzungumzia vizuri sana mambo haya jaribu kuitafuta ukiiipata itakupa mwanga!
 
Habari wana JF Jukwaa la Biashara,

Nina maona ya kumiliki radio yangu na vyombo vingine vya habari ili niwapatie watanzania habari zisizochunjwa hadi kupitiliza, kwa kuanza nahitaji kuwa na Local radio Mjini Dodoma, nahitaji kujua nitahitaji mtaji kiasi ghani na mahitaji mengine hadi radion iwe operational.

Mp Radio Producer alishawahi kutoa gharama halisi za uanzishaji wa Community radio!
 
asante bestito ndo maisha hayo ukiwa kijana lazima uchakarike ili uje uzeeni mwako ule yale matunda ya ujana wako bila kujuta ovyo nawe nakutakia baraka kaatika shughuli zako Mungu akupe kuthubutu na kuchukua hatua ya kutenda lile ulitakalo best

mara nyingi mafanikio hayaji kwa kujibweteka nikuangaika tu utaona kile ulichotaka na kubuni kwa muda mwingi nawe pokea kama mm
Daah, naona unapambana na maisha kila kona ladyfurahia, safi sana!
 
Back
Top Bottom