Nataka Kuanzisha SACCOS

beko

Senior Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
189
Reaction score
91
Nataka kuanzisha SACCOS ya wakulima wa matunda huko Rufiji na Mkuranga. Naomba mwenye sample ya katiba (constitution) anipatie.
natanguliza shukrani.
 
Watafute MUVI wapo ofisi za SIDO hapo Pwani ndo wanaoshughulikia kitu kama unachotaka kuanzisha mkuu. P/se then unipe shavu kwani nina kashamba kangu hapo maeneo lakini nimeshindwa kukaendeleza mzee, najua utanibeba kama walivyobebwa watani zangu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…