Nataka kuanzisha shirika naomba ushauri wa kisheria

Nataka kuanzisha shirika naomba ushauri wa kisheria

Cardinal06

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
963
Reaction score
326
Mm ni mtanzania niliyehitimu elimu ya chuo kikuu muda c mwingi, nimepanga kuanzisha shirika-of course nimeshadraft mpango wangu na iko kwny mchakato, naomba ushauri wa kisheria kuhusu mahitaji msingi, sheria inanidai nn katika uanzishaji wa shirika, pia mambo mengine yatakayonisaidia. Shirika lenyewe litahusika na masuala ya mazingira.
Asanteni wadau
 
Ungemtafuta wakili ingekuwa vema zaidi
 
Nenda ukawaone NEMC watakusaidia zaidi.

Pia nijulishe shirika kwa jina la kingereza linaitwaje, labda nitakuwa nina ya kuchangia kuanzia hapo.
 
Kuna wanaosema kwamba natakiwa kuisajili kwny Wizara ya Mambo ya Ndani
 
Kusajili ni lazima.. Ila sina uwakika kama kusajili wake unafanywa kwenye hiyo wizara.
Waone NEMC watakuwa na msaadà zaidi.
 
Kusajili ni lazima.. Ila sina uwakika kama kusajili wake unafanywa kwenye hiyo wizara.
Waone NEMC watakuwa na msaadà zaidi.

Anayeweza kunipa sheria ya NEMC kuhusu mashirika yasiyo ya kiserikali yanayohusika na mazingira.....
.
..mkuu shirika halijapata jina rasmi kwa sababu halina usajili wala halina online site yoyote kwahyo siwez kusema jina lake kwa sasa bado.
 
Back
Top Bottom