Nataka kuanzisha shule/ shule shikizi

Nataka kuanzisha shule/ shule shikizi

Creah

Member
Joined
Apr 6, 2018
Posts
79
Reaction score
82
Mimi ni mwalimu daraja la IIIB. Nina zaidi ya miaka 5 bila ajira. Kijijini kwetu kuna changamoto ya Shule na wazazi na jamii Kwa ujumla wamejichangachanga hera na wamejenga madarasa mawili pamoja na ofisi.

Shida ni kwamba toka wajenge madarasa hayo ni zaidi ya miaka kumi sasa hayafanyiwi kazi. Jamii imeniomba tufungue hiyo shule ianze kufanya Kazi.

Wasiwasi wangu ni kwamba endapo nitaifungua hiyo shule na wazazi wakashindwa kunilipa mimi nitafanyeje na shule haina usajiri. Hivyo naomba ushauri.
 
Mimi NI mwalimu daraja la IIIB . Nina zaidi ya miaka 5 bila ajira. Kijijini kwetu kuna changamoto ya SHULE na wazazi na jamii Kwa ujumla wamejichangachanga hera na wamejenga madarasa mawili pamoja na ofisi. Shida NI kwamba toka wajenge madarasa hayo NI zaidi ya miaka kumi sasa hayafanyiwi KAZI.

Jamii imeniomba tufungue hiyo SHULE ianze kufanya KAZI . Wasiwasi wangu NI kwamba endapo nitaifungua hiyo SHULE na wazazi wakashindwa kunilipa Mimi nitafanyeje na SHULE haina usajiri. Hivyo naomba ushauri
 
Mimi NI mwalimu daraja la IIIB . Nina zaidi ya miaka 5 bila ajira. Kijijini kwetu kuna changamoto ya SHULE na wazazi na jamii Kwa ujumla wamejichangachanga hera na wamejenga madarasa mawili pamoja na ofisi. Shida NI kwamba toka wajenge madarasa hayo NI zaidi ya miaka kumi sasa hayafanyiwi KAZI. Jamii imeniomba tufungue hiyo SHULE ianze kufanya KAZI . Wasiwasi wangu NI kwamba endapo nitaifungua hiyo SHULE na wazazi wakashindwa kunilipa Mimi nitafanyeje na SHULE haina usajiri. Hivyo naomba ushauri
Ifanye private upige pesa mkuu Cc ephen_
 
Anza kufundisha nursery tu then uweke gharama rafiki

Mfano unaweza kuweka gharama ya kulipwa 10k kwa mwezi kwa kila mwananfunzi .

Pia waweza kuanza kufundisha masomo ya ziada kwa wanafunzi wa secondary.


Mkuu UPO kijiji gani Mimi Mwalimu wa (||| C ) naweza kuja tukaunganisha nguvu Kama wanafunzi wapo

Tunaanza na watoto wadogo tu ambao wanatarajia kuanza standard one then tunafundisha na QT - Na wanaorudia mitihani ya form four na six.

Gharama tunaweka Affordable ili tupate number kubwa ya wanafunzi
 
Mimi ni mwalimu daraja la IIIB. Nina zaidi ya miaka 5 bila ajira. Kijijini kwetu kuna changamoto ya Shule na wazazi na jamii Kwa ujumla wamejichangachanga hera na wamejenga madarasa mawili pamoja na ofisi.

Shida ni kwamba toka wajenge madarasa hayo ni zaidi ya miaka kumi sasa hayafanyiwi kazi. Jamii imeniomba tufungue hiyo shule ianze kufanya Kazi.

Wasiwasi wangu ni kwamba endapo nitaifungua hiyo shule na wazazi wakashindwa kunilipa mimi nitafanyeje na shule haina usajiri. Hivyo naomba ushauri.
ACHA HOFU, FANYA KAZI MATOKEA YATAKUJA BAADAYE.
 
Back
Top Bottom