Asante sana nitazingatia mkuuBila shaka engine code ni 4JX1. Ni engine kichefu chefu sana. Waweza kuweka engine ya isuzu 4JG2. Hapo utaweka engine pekee hakuna kingine utabadilisha. Nimebadili mwaka jana nikapumzika. Bighorn ni mimba!
Pole sana, bila shaka hiyo engine inayokusumbua ni 4jx1 turbo diesel euro Ill,With hydraulic unit injector, hiyo engine kweli ni ya Umeme kila kitu,na inategemea sana sensors, kuna sensor hapo itakuwa imeshachoka ni ya kubadilisha, Mimi ninayo gari kama hiyo, hainisumbui, nitafute kuna hatua kadhaa nitakusaidia.1: Service yake iko juu sana ( ghali )
2: Mfumo wake was umeme unanisumbua sana kila nikitengeneza baada ya wiki moja tatizo linakuwa liko pale pale. Inaunguza sana brush za starter motor, nimejaribu kwa mafundi wengi mno naona mafanikio hayapo.
3: Kuna wakati unaweza kuiwasha na ikakubali vizuri tu na ukatembea mwendo mrefu , shida inakija kuwa ukisha izima haikubali tena kuwaka hadi ndani ya masaa kama 3 ndio ukubali kuwaka, Ila eti umekwenda sehemu, na shida yako labda ni ya dk labda 10 ukimaliza ukirudi kuiwasha haikubali kabisa hadi ipoe sana.
hizi gari either Bighorn au Trooper, zinakuja na diesel engine za aina mbili, ambazo ni 4jg2 na 4jx1,wewe ya kwako ina engine ipi? Kuna engine moja hapo ndiyo inayosumbua sana ambayo ni 4jx1, ila kama gari yako ni diesel 4jg2 hiyo haina tatizo, ni jiwe ngumu sana.ok mkuu, but kwa kubadiri injini unadhani tatizo linaweza kuwa solved,maana na mimi ninayo kama yako ya urithi sasa kabla hayaja nikuta nibora kifanya kama unavyotaka kufanya
Mkuu gear box yako ni auto au manual? Je kama ni auto inakubari kufika speed 120km/h? Je baada ya kubadilisha engine rpm inasoma vizuri,maana, mkuu hata mimi nina mpango huo wa kubadilisha engine pindi hii 4jx1 itakapo dead.Bila shaka engine code ni 4JX1. Ni engine kichefu chefu sana. Waweza kuweka engine ya isuzu 4JG2. Hapo utaweka engine pekee hakuna kingine utabadilisha. Nimebadili mwaka jana nikapumzika. Bighorn ni mimba!
Nipatie mawasiliano yako uko wapi mkuuPole sana, bila shaka hiyo engine inayokusumbua ni 4jx1 turbo diesel euro Ill,With hydraulic unit injector, hiyo engine kweli ni ya Umeme kila kitu,na inategemea sana sensors, kuna sensor hapo itakuwa imeshachoka ni ya kubadilisha, Mimi ninayo gari kama hiyo, hainisumbui, nitafute kuna hatua kadhaa nitakusaidia.
Nipatie mawasiliano yako uko wapi mkuu
Gear box ni manual, shida kubwa ni kugoma kuwaka , unaweza ukaiwasha na kwenda mbali bila ya matatizo yoyote, na engine yake ina nguvu kama kawaida, shida ni pale utakapo izima, ukitaka kuiwasha haikubali tena hadi hata ndani ya masaa matatu hadi hata manne, kiujumla ni hadi ipoe kabisa.Mkuu gear box yako ni auto au manual? Je kama ni auto inakubari kufika speed 120km/h? Je baada ya kubadilisha engine rpm inasoma vizuri,maana, mkuu hata mimi nina mpango huo wa kubadilisha engine pindi hii 4jx1 itakapo dead.
OK nipe namba yako nitakupigia kuna sensor hapo za kuangalia.Gear box ni manual, shida kubwa ni kugoma kuwaka , unaweza ukaiwasha na kwenda mbali bila ya matatizo yoyote, na engine yake ina nguvu kama kawaida, shida ni pale utakapo izima, ukitaka kuiwasha haikubali tena hadi hata ndani ya masaa matatu hadi hata manne, kiujumla ni hadi ipoe kabisa.
Nashukuru sana mkuuOK nipe namba yako nitakupigia kuna sensor hapo za kuangalia.
Yaaa Dmax ni toleo jipya zaidi, na engine zake wamezi-update.Magari ya ISUZU yanasumbua sana. Hasa Isuzu Wizard. Ila nazipenda sana Isuzu Dmax... Ni gari ambayo iko very very comfortable...
hizi gari either Bighorn au Trooper, zinakuja na diesel engine za aina mbili, ambazo ni 4jg2 na 4jx1,wewe ya kwako ina engine ipi? Kuna engine moja hapo ndiyo inayosumbua sana ambayo ni 4jx1, ila kama gari yako ni diesel 4jg2 hiyo haina tatizo, ni jiwe ngumu sana.
Nime Ku pmOK nipe namba yako nitakupigia kuna sensor hapo za kuangalia.
Gear box ni manual, shida kubwa ni kugoma kuwaka , unaweza ukaiwasha na kwenda mbali bila ya matatizo yoyote, na engine yake ina nguvu kama kawaida, shida ni pale utakapo izima, ukitaka kuiwasha haikubali tena hadi hata ndani ya masaa matatu hadi hata manne, kiujumla ni hadi ipoe kabisa.
Asante Nita Ku PMNdugu hujapata fundi mzuri, Isuzu hazina shida yeyote.
Ni PM nikupe maelezo, ukishindwa niuzie hiyo gari.
mkuu fanya edtingNataka kubadili engine , ya gari aina ya Isuzu bigon, ili niweke engine nyingine tofauti.
1: Je engine ya aina gañi iliyo nzuri kwa matumizi na inayo weza Ku fiti vzr kwenye body ya Isuzu bigon
2: Je nikibadili engine **** umuhimu pia wa kubadili na gear box,
3: Naomba msaada wa kueleweshwa pia ni aina gani ya engine iliyo bora na yenye unafuu wa gharama wakati wa kufanya service.
Natanguliza heshima kwenu wana bodi nipatieni msaada huo wa mawazo. Asanteni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimba nyingine ni Nissan Fuga engine v25 kizunguzungu.Bila shaka engine code ni 4JX1. Ni engine kichefu chefu sana. Waweza kuweka engine ya isuzu 4JG2. Hapo utaweka engine pekee hakuna kingine utabadilisha. Nimebadili mwaka jana nikapumzika. Bighorn ni mimba!
Dmax iko vizuri sana. Usisite kuinunua. Haina hizo shida anazolalamikia mleta madaMagari ya ISUZU yanasumbua sana. Hasa Isuzu Wizard. Ila nazipenda sana Isuzu Dmax... Ni gari ambayo iko very very comfortable...