Ipo fresh boss, rpm haikua inafanya kazi toka mwanzo na sijahangaika nayo baada ya kubadili engine. Kwa speed ipo poa. Nilienda nayo tukuyu. 120-140km/h ni kawaida.Mkuu gear box yako ni auto au manual? Je kama ni auto inakubari kufika speed 120km/h? Je baada ya kubadilisha engine rpm inasoma vizuri,maana, mkuu hata mimi nina mpango huo wa kubadilisha engine pindi hii 4jx1 itakapo dead.
Asante sana ndugu, ulibadilishia garage ipi? Halafu pia hiyo 4jg2 ni lazima iwe yenye manual injector pump? au ya electronic injector pump?Ipo fresh boss, rpm haikua inafanya kazi toka mwanzo na sijahangaika nayo baada ya kubadili engine. Kwa speed ipo poa. Nilienda nayo tukuyu. 120-140km/h ni kawaida.
Gali imenisumbua kinoma ila ndio ivyo tena nina mahaba nazo. Kuna moja nimeiona i wish to have it. Mambo ya engine nishajua jinsi ya ku deal nayo
View attachment 878432View attachment 878431
Sasa si mateso hayo, gari yako unakuwa kama umeiiba bana😂😂😂Gear box ni manual, shida kubwa ni kugoma kuwaka , unaweza ukaiwasha na kwenda mbali bila ya matatizo yoyote, na engine yake ina nguvu kama kawaida, shida ni pale utakapo izima, ukitaka kuiwasha haikubali tena hadi hata ndani ya masaa matatu hadi hata manne, kiujumla ni hadi ipoe kabisa.
Isuzu wana design body nzuri hasa wizard naikubali sana iwe V6 petrol ila hayo majanga ya engine sikuwahi kuyajua
Trooper ndio sijawahi ipendaDaah mkuu gari ina sura mbaya kinoma hio hahah
Trooper imekaa vizuri sana Chief mm nikiipata ile body yake tu naitafutia injini ya 1KZ nimemaliza kaziTrooper ndio sijawahi ipenda
Trooper ndio sijawahi ipenda
Ilivyominywa ubavuni ndio sijapendaDah mi naona trooper naona ina ka-uafadhali aisee.
Mie ilivominywa flani ubavun sijapendaDah mi naona trooper naona ina ka-uafadhali aisee.
Gari isiyo Toyota (Sedan & SUV) ni kwikwi kuimilikiHizi gari kumbe engine zake ni vimeo eeh?! Imekusumbua nini mkuu?
ISUZU Trooper imeminywa ubavuni toka lini?Mie ilivominywa flani ubavun sijapenda
Basi hutakuwa hio gari huijui vyema kuna namna imeminywa body katikati ya milango. Kulekea mpaka kwenye taa ya nyuma. Ule mkunjo haunivutii hata kidogoISUZU Trooper imeminywa ubavuni toka lini?
Mkuu unapatikana wapi? Nahitaji msaada wako kwenye hii issuePole sana, bila shaka hiyo engine inayokusumbua ni 4jx1 turbo diesel euro Ill,With hydraulic unit injector, hiyo engine kweli ni ya Umeme kila kitu,na inategemea sana sensors, kuna sensor hapo itakuwa imeshachoka ni ya kubadilisha, Mimi ninayo gari kama hiyo, hainisumbui, nitafute kuna hatua kadhaa nitakusaidia.
Unahitaji msaada gani kwenye Isuzu?Mkuu unapatikana wapi? Nahitaji msaada wako kwenye hii issue
Yes Mkuu Nina Isuzu Trooper ya 2001 niliinunua hivi karibuni Ina Engine ya 4JX1 Manual gearbox. Tatizo LA hii Engine ni kwamba haikimbii zaidi ya 60kph. Yaani ukiwa Silence ukikanya mafuta RPM inapanda vizuri tu lakini ukiwa unaendesha hata ukanyage throttle hadi mwisho Haikimbii zaidi ya 60kph RPM inakwamia kwenye 2.9 hivi na matokeo yake nguvu inakuwa ndogo kwenye higher gear na mafuta yanatumika sana kwa sababu kilima kidogo inabidi uende hadi 2 au 1 kabisa. Tatizo ni lipi? Najua hizi Engine ni Nzuri ile nimekwama hapo.Unahitaji msaada gani kwenye Isuzu?
Nakucheki inboxYes Mkuu Nina Isuzu Trooper ya 2001 niliinunua hivi karibuni Ina Engine ya 4JX1 Manual gearbox. Tatizo LA hii Engine ni kwamba haikimbii zaidi ya 60kph. Yaani ukiwa Silence ukikanya mafuta RPM inapanda vizuri tu lakini ukiwa unaendesha hata ukanyage throttle hadi mwisho Haikimbii zaidi ya 60kph na matokeo yake nguvu inakuwa ndogo kwenye higher gear na mafuta yanatumika sana kwa sababu kilima kidogo inabidi uende hadi 2 au 1 kabisa. Tatizo ni lipi? Najua hizi Engine ni Nzuri ile nimekwama hapo.
Kuna kipindi ilichemsha nikachonga Cylinder head lakini ikadevelop Hilo tatizo. Sawa nimekwamia hapo
Asante kiongozi. Check PM piaNakucheki inbox
Hii ndio mindset mbovu kabisa kuwa nayo kumkichwaGari isiyo Toyota (Sedan & SUV) ni kwikwi kuimiliki