Nataka kubadilisha jina la ukoo!

dah! kuna forum flani wameninunua kila nikiposti wananilipa kutokana ma maushauri yangu kuwa vere effective. lakini nitalejea bana yaani hatujamalizana ujue.


:sleep::sleep::ranger::ranger::ranger:
 
Mimi kwenye hili naomba kukaa pembeni Lizzy nimehangaika nae for 90 days hanitaki,namtakia kila la heri kwa mwenye bahati ya kumpata huyu 'Lulu'.

Tatizo laknd Uporoto hua unapotea!Sitaki kua wa muda tu....!
 
dah mkuu salamu zikufikie maabara uliko na mwanafunzi wako ambaye ni binti yangu, ujumbe, "ladha ya mboga anaijua mlaji"
haka ka mwanafunzi kanatii masharti ya sylabuss tu lakini amri nyengine za mwalim hakakubali kabisa yaani. nafanya mpango nikafelishe kakauze maandazi.
 
naona na mkuu kolorokwini keshaingia basi plasimodiamu wote watakimbia, utabiri wa hali ya hewa unaonyesha kuwa usiku huu hapa hapalaliki

Mkuu yaani akiingia huyu mshikaji baaaaaaasi
presha inapandaaaaaaaaaaaaaaaa inashuka, ka mkwere anavyoogopa maandamano ya chadema.
Nakosa raha sasa aaaaaaaaaaaaaaaaarrrrrrrrrrrrrrg

Klorokwini eeeeeeeeeeh, nenda Muhimbili bana, wagonjwa hawana dawa
 
dah! kuna forum flani wameninunua kila nikiposti wananilipa kutokana ma maushauri yangu kuwa vere effective. lakini nitalejea bana yaani hatujamalizana ujue.

itakuwa
ni ile forum mpya ya uchawi na wanga.
 

muache mwalimu wangu aisee.
 
Tatizo laknd Uporoto hua unapotea!Sitaki kua wa muda tu....!

hajui kitu inaitwa....to keep promise....labda niwe sipo kwenye recruitment,....nimeshamtoa kwenye kinyang'anyiro hata kabla hajaingia....l.o.l
 
Aiseeee......yanini malumbano,ya nini maneno.....

najiweka pembeni naepusha msongamano.....bora nitulie.....l.o.l

kazi tunayo,tuliofulia na tusio na mvuto......albamu vupi Kloro.....am waiting oh????

album limekamilika, songi moja linahusu mademu wa JF namna wanavyozingua hehehehe litakuwa hewani kabla easter. stay chuned
 
album limekamilika, songi moja linahusu mademu wa JF namna wanavyozingua hehehehe litakuwa hewani kabla easter. stay chuned

aiseeeeeee.....naomba uandike pia kuhusu mashalobaro.....am chuned....l.o.l
 
Sipiyu you are the sweetest thing...the loveliest being!!Having you will be an honour...if you promise me your whole heart and not just a corner!I will love you from the buttom of my heart...and will never make yours hurt!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…