dah! kuna forum flani wameninunua kila nikiposti wananilipa kutokana ma maushauri yangu kuwa vere effective. lakini nitalejea bana yaani hatujamalizana ujue.
haka ka mwanafunzi kanatii masharti ya sylabuss tu lakini amri nyengine za mwalim hakakubali kabisa yaani. nafanya mpango nikafelishe kakauze maandazi.dah mkuu salamu zikufikie maabara uliko na mwanafunzi wako ambaye ni binti yangu, ujumbe, "ladha ya mboga anaijua mlaji"
naona na mkuu kolorokwini keshaingia basi plasimodiamu wote watakimbia, utabiri wa hali ya hewa unaonyesha kuwa usiku huu hapa hapalaliki
dah! kuna forum flani wameninunua kila nikiposti wananilipa kutokana ma maushauri yangu kuwa vere effective. lakini nitalejea bana yaani hatujamalizana ujue.
bcoz hili tego baba mchungaji anaweza akafanya maombi ya kumnyonyoa mtu nywele za kwapa khaaa! tusemeni ameen jamaniKwanini no komenti Kloro?
asa mbona unaondoka na 'reservations'...come to me nina mshahara modest
yule kibaka hashycool wamemkubalia zamana au?duh,umenionaje Kloro....how Kloro how???? karibu uwanja wa fisi Kloro....tule chakula ya roho!!!!!!
Hahaha!Brazameni huyo ntamuweza?
Mkuu yaani akiingia huyu mshikaji baaaaaaasi
presha inapandaaaaaaaaaaaaaaaa inashuka, ka mkwere anavyoogopa maandamano ya chadema.
Nakosa raha sasa aaaaaaaaaaaaaaaaarrrrrrrrrrrrrrg
Klorokwini eeeeeeeeeeh, nenda Muhimbili bana, wagonjwa hawana dawa
halaf wewe! naomba uniPM kwa kiingereza haraka iwezekanavyomwalimu nataka umuoe lizzy ndio nitazidi kufaulu masomo.
Tatizo laknd Uporoto hua unapotea!Sitaki kua wa muda tu....!
yule kibaka hashycool wamemkubalia zamana au?
muache mwalimu wangu aisee.
Aiseeee......yanini malumbano,ya nini maneno.....
najiweka pembeni naepusha msongamano.....bora nitulie.....l.o.l
kazi tunayo,tuliofulia na tusio na mvuto......albamu vupi Kloro.....am waiting oh????
mimi na mods ni macousin na manephew, kijana you have been warnedmwalimu wapi wakati ananiharibia tu bahati hapa!
Mapenzi na klorokwini wapi na wapi???
halaf wewe! naomba uniPM kwa kiingereza haraka iwezekanavyo
album limekamilika, songi moja linahusu mademu wa JF namna wanavyozingua hehehehe litakuwa hewani kabla easter. stay chuned