Nataka kubadilisha jina la ukoo!

Mihangaiko ya dunia tu,lakini nakutahadharisha usiridhike na poems za copy and paste lol!
kamanda kama poem hazipandi sema nikurushie kitu PM halaf umtupie lizzy usoni. hii CPU nimeishtukia inatafsiri nyimbo za kandabongoman kwa kiswahili halaf inamtupia lizzy
 

naomba umpige ban Invisibo maana yeye ndo anajaza seva kwa kuweka kapuni majina yasiyofanya kazi

The Following User Says Thank You to klorokwini For This Useful Post:

CPU (Today)​
 
wewe,utapigwa BAN...hutakiwi kutoa siri za PM.....mi kimbia sasa,sitaki shari.....l.o.l
nikipigwa ban si utanianzishia sredi ya kuniombea? au haunipendi? halaf ukimuona keren happuch naomba umwambie nammiss
 

Kamanda nitake radhi at least nimechangia kiduchu we S.E.Member ina maana hata senti yako haijafika JF badilika mkuu hizohizo za kunywa valu na hapa tupia kidogo.
 
Kamanda nitake radhi at least nimechangia kiduchu we S.E.Member ina maana hata senti yako haijafika JF badilika mkuu hizohizo za kunywa valu na hapa tupia kidogo.
sisi tunaochangia kwa direct debit status zetu zinakuwa hazichange. pitia tena rule za JF kamanda
 
atakuwa na list....yuko kwa process ya kuchagua mmoja....he is taking his time.....9t 9t dearest!!!
Jamani Michelle mbona hunipendi siku hizi toka nilivokwambia nitatoka na Liz badala yako au ndio 'hell has no fury like a woman scorned' ?
 
kamanda kama poem hazipandi sema nikurushie kitu PM halaf umtupie lizzy usoni. hii CPU nimeishtukia inatafsiri nyimbo za kandabongoman kwa kiswahili halaf inamtupia lizzy
Hahaha! hapana mi afadhali niandike vimistari vyangu viwili badala ya ku-plagiarize kazi za watu na kudai yangu.
 
Klorokwin....have missed you big!...good to see you back!
bado sijalejea kamili, leo nimepata ka upenyo tu nikaona nije kukutia machoni kidogo na afazali nimekuona. yaani sasa hata nikilog out basi hela yangu ya cafe ishalipa.
 
bado sijalejea kamili, leo nimepata ka upenyo tu nikaona nije kukutia machoni kidogo na afazali nimekuona. yaani sasa hata nikilog out basi hela yangu ya cafe ishalipa.

I am happy to see you too....wasalimie huko farmacy!
 
Jamani Lizzy......hivi ni kweli au utani??? Mimi siku zote nawaza kuwa wewe ulishabadili hilo jina la ukoo??

Kama ni kweli, all the best! Usisahau maombi.
Bado mpendwa...ndo nataka nimalizane nalo mwaka huu!Maombi lazima aisee...asante kwa kunikumbusha!
 
My my my!Sipiyu...I wish I could make this moment go on forever!It's like a dream so sweet that I don't wanna wake up!
 
kamanda kama poem hazipandi sema nikurushie kitu PM halaf umtupie lizzy usoni. hii CPU nimeishtukia inatafsiri nyimbo za kandabongoman kwa kiswahili halaf inamtupia lizzy

Hahahahaha!Chuki binafsi kila kona!Leo utamsaidia kutongoza..kesho kunipenda atamsaidia nani?
 
wakuu sasa napotea kimoja. naomba mnimiss especially wewe lizzy na keren happuch kwasababu mimi nikiwa siwamiss nakuwa naonana na daktari ili niwamiss. infakti kuwamiss nyinyi ni moja ya hobbies zangu. kamanda uporoto gud nite aisee, acha nisepe!
 
wakuu sasa napotea kimoja. naomba mnimiss especially wewe lizzy na keren happuch kwasababu mimi nikiwa siwamiss nakuwa naonana na daktari ili niwamiss. infakti kuwamiss nyinyi ni moja ya hobbies zangu. kamanda uporoto gud nite aisee, acha nisepe!
Kabla hujalala weka huo mshahara kwenye soksi chafu alafu kwenye kimalboro ukasokote kabla hujakaweka chini ya godoro!!Tutakumiss mpaka tutakapopata tena malaria!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…