Nataka kubadilisha jina la ukoo!

he is capable...you will have to see and decide for yourself.....he is not in JF....what should i do????

sasa kuhusu umri what if he is ten years younger Lizzy?

Mwache akue bana, atajitafutia Lizzy wake baadae
 
Asante da Michelle kwa kuliona hiloo.. yaelekea atakuja kuwa waziri mkuu mzuri ( mama mwenye nyumba) lol...ngoja niongeze jitihada..lol

Kweli kabisa Mpendwa......nimeshangaa sana.....ongeza jitihada tafadhali,manake nawe nimekusoma siku nyingi....mtaendana.....:hand:
 
Asante da Michelle kwa kuliona hiloo.. yaelekea atakuja kuwa waziri mkuu mzuri ( mama mwenye nyumba) lol...ngoja niongeze jitihada..lol

Hehehe!HivitMpendwa kumbe na wewe ni mgombea!!!?
 
sawa dearest....please adopt him....mpe muda akue, akimaliza shule ndo uanze kumfundisha majukumu yake.....l.o.l:wink2:

Mlete haraka aanze kunizoea kabisa!
 
Kweli kabisa Mpendwa......nimeshangaa sana.....ongeza jitihada tafadhali,manake nawe nimekusoma siku nyingi....mtaendana.....:hand:

Dahh. I feel like flying kupata endorsement yako..lol! Nahisi Lizzy akisoma hapa naye atakuwa flattered..lol
Lizzy Mpendwa..:msela:
 
Naaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam!
Wewe si unataka umpe mtoto uliye zaa na hashycool

CPU....Hashycool sijui yu wapi jamani....katoto kanauliza kila siku....where is daddy??? ntampa Lizzy,ngoja Hashy akubali kama atarudi,manake kaenda safari ya mbali....l.o.l
 
Kweli kabisa Mpendwa......nimeshangaa sana.....ongeza jitihada tafadhali,manake nawe nimekusoma siku nyingi....mtaendana.....:hand:

Lolz dearest!Mbona unamwaribia Sipiyu kampeni?
 
Mpendwa ni mwanaume???? :A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:

Ni mwanamume aliyechakachuliwa na Yesu! ana busara,hekima, heshima na maarifa!!
Sijisifu, Biblia inanisupport,, Kumchwa Bwana ni chanzo cha hekima na maarifa!
 
mdogo sana kwa akili na busara/hekima unayoonyesha kupitia posts zako......usitake kujua nilifikiri una miaka mingapi....l.o.l:hand:

Asante dearest!Mmmh embu niambie...
 
Hehe dearest we utakua unazipokea...zisizo na mchongo unazipotezea...zile zenye malengo ndo unanisogezea!
Lizzy my dear utamkubali mme aliyeachika endapo yu serious? mie nilikuwa na mke ila tumetalikiana. unaonaje hapo?
 
Dahh. I feel like flying kupata endorsement yako..lol! Nahisi Lizzy akisoma hapa naye atakuwa flattered..lol
Lizzy Mpendwa..:msela:
Hehehe!Lizzy Mpendwa!Me likeyy!
 
wewe mtoto kweli....huwezi wasoma wagombea hadi saa hizi? mi mbona sa nyingi sana nilishajua...l.o.l

dah.dah..nitapata challenge sana ya kumtunza! ni bora ameshatamka wazi anataka mwanaume wa namna gani! lol..nahisi hekima zimemzidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…