Nataka kubadilisha signature yangu

Nataka kubadilisha signature yangu

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
wadau nahitaji kubadilisha signature yangu. kutokana na kazi ninazofanya kwa sasa napiga signature nying mpaka nachoka, sasa nahitaji kuwa na signature simple tu nyingine.je kuna utaratibu gani. mbali na hilo pia nmeona automatically signature yangu,ya mzee na wadogo zangu zinafanana sana ni kama tulikuwa tuna copiana. na kila mtu anamshangaa mwenzie. nmeona hili pia ni tatizo so nifanye nini ili nibadilishe saini yangu.
 
Fika mahakamani apa na ujaze fomu kisha uende benki ukiwa na picha mbili za rangi.
 
Sasa issue yako ni ipi hapa? kuchoka ku-sign kwa sababu una-sign- karatasi nyingi au kufanana kwa signatures? Kama ni wingi wa ku-sign ni vyema ukawa unapumzika; na kama ni suala la kufanana kwa signatures sijui utalitatuaje kwani sijawahi kusikia mtu anabadilisha signature kabla yako ila nahisi lazima kutakuwa na utofauti hata mdogo kwenye hizo signature zenu.
 
Back
Top Bottom