Nataka kuchangia fedha Jamii Forums

bado tunabanana au hujansoma weye???
 
Nifanyeje ili kuwasilisha huo mchango?
Ofisi za Jamii Media (inayoratibu JamiiForums) zipo Dar es Salaam, unaweza kuwasiliana nasi kwa simu +255 222 843 510 (landline) au +255 713 444 649 (mobile) tukaufuata mchango popote ulipo ili kukupunguzia usumbufu. Lakini endapo utaona rahisi basi turahisishie nasi kwa kutumia njia hii iliyoelekezwa hapa:

JINSI YA KUICHANGIA JF

 
heeee umeona tut...... limekuwa refu kama reli sio
 
mmh preta leo kweli mapinduzi, baada ya pinduzi lako nashudia na ue tut nae kapindua lake!!!!!!!!!!!

naona leo ni pindu pindu kwa kwenda mbele ila afadhali maana lilikuwa refu
 
naona leo ni pindu pindu kwa kwenda mbele ila afadhali maana lilikuwa refu

sana kama reli ya chigoma enzi zile kabla ya wahindi!!!!!

ila lako chiboko, kila siku jioni mida ya mamushka ntakuwa nakukumbuka !!!

avatar na naniliu zote pindu leo.

indeed its a revolution day. ngoja nikupm kitu.
 
hio link ya kutumia paypal mbona haifanyi kazi? kuna mtu mwenye email account ya paypal ambayo tunaweza kutuma huo mchango?
 
hio link ya kutumia paypal mbona haifanyi kazi? kuna mtu mwenye email account ya paypal ambayo tunaweza kutuma huo mchango?

Mkuu ukifuata link ya https://www.jamiiforums.com/payments.php utakutana na maelekezo yatakayo kupeleka kwenye secured system of paymenyts na baadae utakutana na icons hizi:




OR



Hivyo wewe unayetaka kuchangia via PayPal itakuwa rahisi sana kwako, naamini utaweza mkuu wangu.

Kisha malizia transaction mkuu, kiulaini.
 
asante sana mkuu mwanzo haikunipa option ya paypal ilinipa 2c0 ndio maana nikarudi kuuliza nimeiona sasa hivi.asante sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…