Nataka kuchapisha fulana saba kumuenzi mke wangu

Nataka kuchapisha fulana saba kumuenzi mke wangu

Shinnok

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
236
Reaction score
564
Mke wangu mjamzito asa katika kipindi hiki cha ujauzito wake nataka ku print tshirt saba niandike maneno haya MKE WANGU MJAMZITO ili iwe kumbukumbu mtoto akizaliwa

naprint matshirt saba,moja langu ,moja lake,moja la mtoto atakayezaliwa, moja la baba yake mzazi ,moja la mama yake mzazi,moja la baba yangu mzazi,na moja la mama yangu mzazi.
 
Mke wangu mjamzito asa katika kipindi hiki cha ujauzito wake nataka ku print tshirt saba niandike maneno haya MKE WANGU MJAMZITO ili iwe kumbukumbu mtoto akizaliwa

naprint matshirt saba,moja langu ,moja lake,moja la mtoto atakayezaliwa, moja la baba yake mzazi ,moja la mama yake mzazi,moja la baba yangu mzazi,na moja la mama yangu mzazi.
Unamchulia hatakaa ajifungue na akijifungua wote mtakuwa na vitambi kama wajawazito
 
Wale kumsa kuku mwanakumanina Dada yako kapitia na huku maza faka chicken bichi yuu bloodfool nigga nini umeandika hiki yuu crazy monkey
 
Itakuwa ni ujauzito wa kwanza mkuu.....huwa unawachanganya sana, hasa kwa watu wanaokuwa na shauku kubwa ya kuitwa mzazi kwa mara ya kwanza.
 
Back
Top Bottom