Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,357
- 1,596
Hello jamii,
Nimejaribu kugoogle ni wapi naweza kwenda kuweka chapa ya biashara yangu lakini nimekosa nikakumbuka kisima cha maarifa chapchap suala hii ndio mahali pake.
Nina logo yangu nataka nichapishe kwenye kalamu na madaftari (notebook)
Mahitaji:
Kalamu 50
Notebook 50
Kama kuna yeyote anafanya kazi kwenye kampuni husika anaweza kunipa maelezo zaidi au kama kuna anayefahamu chochote vile vile anaweza kunielekeza wapi naweza kumaliza shida yangu hata anuani au website ya kampuni ni vizuri pia.
Nimejaribu kugoogle ni wapi naweza kwenda kuweka chapa ya biashara yangu lakini nimekosa nikakumbuka kisima cha maarifa chapchap suala hii ndio mahali pake.
Nina logo yangu nataka nichapishe kwenye kalamu na madaftari (notebook)
Mahitaji:
Kalamu 50
Notebook 50
Kama kuna yeyote anafanya kazi kwenye kampuni husika anaweza kunipa maelezo zaidi au kama kuna anayefahamu chochote vile vile anaweza kunielekeza wapi naweza kumaliza shida yangu hata anuani au website ya kampuni ni vizuri pia.