Kama nakuelewa hivi designNa kama sio mzoefu kweli atalia sana yani saana
Nachepuka kwa akili zangu lakini si kwa kuambiwa ushauri na mtu. Kuchrpuka haimaanishi nishauri nae achepuke. Mwacheni achepuke kwa mawazo yake mwenyewe...Mkuu mbona kama unaumia sana eee kwani wew huchepuki au
Hakika nakwambia utakamatwa,mwanamke akishapata mtu nje hubadilika haraka sana hivyo mumeo alishakujua kuwa saizi unadalili ya kuchepuka au unachepuka hivyo anakucheki tu na kukuwinda,kariri maneno yangu haya utakuja kuniambia!Sijawahi, naogopaa...ila nafsi haielewi.
We mbalizi1 unanielewa??Kama nakuelewa hivi design
Una akili sana we mwanamke!! Nakupongeza sana aisee!!Hakuna cha ajabu utakachokutana nacho Zaidi ya kujishushia heshima kwa uliyetembea nae na kwa mumeo akijua.
Kutembea nje ya ndoa kwa mwanamke naamini ni kumdhalilisha mumeo. Yule ulitembea nae hatamuheshimu mumeo hata mara moja.
Na utamfanya mumeo ajione si lolote mbele ya jamii. Tujaribu kuwapa heshima zao wanaotupa heshima ya kuwa wake zao.
Sasa unadhani huyu ameomba ushauri kwamba ukimwambia asichepuke hatochepuka ni kwamba moyo wake na roho viko radhiiNachepuka kwa akili zangu lakini si kwa kuambiwa ushauri na mtu. Kuchrpuka haimaanishi nishauri nae achepuke. Mwacheni achepuke kwa mawazo yake mwenyewe...
Yaan acha kabisa sista, ilibidi nihame uzi kwa muda, wee ndo umenirudisha.Teh mwanamke akitaka kuchepuka, jukwaa linageuka kuwa la dini ghafla, sio kwa vifungu vya mahubiri na maonyo atakayopata. Subiri mwanaume aelezee tu tatizo la mke wake, solution pekee atakayopewa ni kumtafutia mchepuko. Yani nacheka kama mazuri, kweli usiombe uchapiwe teh
Siga mwanawasu, ja ji siku yego!??Mwanawasu, una ka uzoefu na hii maneno? [emoji23][emoji23]... Hujambo?
Hata huyo jamaa anaku care sababu bado hajakulamba akishakufanya utaona tu mwenyewe,kitu kingine huenda baada ya kuolewa na mumeo ulianza kuishi kwa mazoea wewe hufanyi nafasi yako ila unaamua kumlaumu mumeo bila kujua huenda wewe ndo chanzoNimekwama Eve, yaani huyu mwanaume is really cool, caring hatari. Najaribu kuhamishia hisia kwa mume wangu wapi zinagoma, Mume akiingia tafrani, gubu gubu, hakosi cha kukosoa...hajui kusifia cha ajabu huko nje anajichekesha kwa wanawake wengine kama sio yeye. Nimechoka
Haha utatusikia "wanaume wote wapo hivyo hivyo", mweeh tunataabika duniani bado na mbinguni sasaYaan acha kabisa sista, ilibidi nihame uzi kwa muda, wee ndo umenirudisha.
Ila bottom line ni kwamba acha tu vifungu na mahubiri vitamalaki coz majority tunamuonea huruma kitakachompa huyo mwanamke mwisho wa siku. Mwenyewe unaonaga humu comments za wanadau humu ke akichepuka, utasikia piga chini huyo. Subiri sasa mdada alalamike me wake anachepuka, utasikia vumilia tu, wanaume wote ndo walivyo, hahaaa kazi mnayo, teh!!
No asipooa si wapo hawa wachepukaji atawatumia mkuu.mwisho wa siku kwa tabia hizi za wanawake ule usemi kuwa haw ni vyombo vya starehe unakamilika kamili.meant to be used na kila mtu so ukijimilikisha matokeo yake ndio kama haya ya akina mama kIkiwa hutooa milele
matamanio yako,wapi yanaishia?!
kwenye
a)wanawake wa mtaani
b)chaputo
Oa ndg
ila kabla ya kuoa,jiangalie kwanza kisha jitathmini mara kwa mara
Kwasababu
utapata mke mfano wako
jaribu maneno yangu Bro
Utapata mke mfano wako
Mwema hupata mwema
na
Muovu hupata muovu mwenzake
Umeona eeeh? Mpaka hapo alishaamua kuchepuka ila usidhani kwamba ndani patakuwa kawaida lazima huyu ataanza dharau kwa mumewe hapo ndipo tifu litakapoanzian,mwanamke kujizuia akichepuka ni ngumu mnoHapo ulipofikia hakuna cha kukuzuia kuchepuka hakuna!!!!!kafanywe tu ila heshima ibaki pale pale
hiyo hali ukishamuelewa mwanaume magoti yakalegea chp ikaloa yani kuliwa hakukwepeki hata iweje, labda tu mtmbjNimecheka kwa sauti kwa haya mawili
1. Wasafi Classic
2. ukishapata hamu ya hivo ni haitulii hadi ufanye...
Duh,,
noted madame noted 😀C.c mwenyekiti Evelyn Salt kwa kumbukumbu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanaume n mtawala wa familia.so ni rahisi mwanaume kwenda nje kutafuta empire na ku conquer ila ni kitu kingine kabisa empire ya mwanaume kuwa conquered na mtu mwingine.it means umepoteza power.Solution ni ku kill tu the whole empireTeh mwanamke akitaka kuchepuka, jukwaa linageuka kuwa la dini ghafla, sio kwa vifungu vya mahubiri na maonyo atakayopata. Subiri mwanaume aelezee tu tatizo la mke wake, solution pekee atakayopewa ni kumtafutia mchepuko. Yani nacheka kama mazuri, kweli usiombe uchapiwe teh