Mkuu si kwamba kila mahali unaweza kubadilisha fedha za kigeni, na Kubadilisha fedha za kigeni kunategemeana na demand ya hizo pesa, hizo za Zimbabwe je zina demand? kuna wafanya biashara wanazihitaji kwa ajili ya kwenda kufanyia biashara zimbabwe? nazani jibu ni Hapana,
Mkuu hata pesa kama za uganda inabadilishwa Tz kwa sababu tu tuko nao jirani, vinginevyo zisingekuwa na ishu kabisa, na pesa kama za Zambia, Malawi, Rwanda na kazalika hubadilishwa mipakani, na kwa sababu zimbabwe hatupakani nayo labuda ukabadilishie mpakani mwa Zambia na Zimbabwe au nenda Ubalozi wao Dar wanaweza kukusaidia, ila kwa hapo Mwanza ni vigumu sana,