Samahani wakuu,nataka kufahamu ni msanii gani wa bongo hip hop ana mafanikio ya kipesa..Lengo ni kujua kwamana upande wa wenzetu wa bongo fleva au kuimba imba msanii kama diamond anaonekana anakimbiza kimafanikio hasa upande wa mkwanja..
Nawasilisha pia nategemea positive na negative comments