Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah tutafanyaje maana jamii yetu ndio hiyo masaa 24 wanawaza mambo ya pombe na makalio tu.Uzi mzuri kama huu utashangaa kukosa wachangiaji.....Anyway kila la heri mpambanaji
Ndoo tano za 18kgs from Nairobi to Dar bei gani?Naomba hiyo deal yakusafirisha mizigo yako utakayonunua Nairobi na kuileta bongo. Na deal na usafirishaji wa mizigo toka Kenya kuja Tanzania
uwe na boda wako wa kupitisha kimagendo, andaa mlungula ukishikwa unawapaka tu hela.
Vyote ninavyo
Naomba kujua kuhusu hizo ndoo zina nini ndani? Maana mambo ya custom boarder kuna vitu ni allowed na vingine ni restrictedNdoo tano za 18kgs from Nairobi to Dar bei gani?
Some raw materials, vinaruhusiwa kabisaaaNaomba kujua kuhusu hizo ndoo zina nini ndani? Maana mambo ya custom boarder kuna vitu ni allowed na vingine ni restricted
Naomba niku PM kwa maelezo zaidSome raw materials, vinaruhusiwa kabisaaa
CopyHivi ndo vya muhimu, mengine utayajua ukishaanza biashara. Maana hata aina ya biashara ujasema.
mfano: inawezekana unataka kufanya biashara ya mirungi, Mambo ya muhimu yatatofautiana na kama unataka kufanya ya Mahindi.
Mfanya biashara serious hufanya utafiti kwa kwenda eneo husika kuangalia bidhaa, bei, ushindani etc, sio Jamii Forums